Recent Posts

PropellerAds

Tuesday, April 19, 2016

Ugomvi wa kikombe cha chai wasababisha maafa Misri


Kumekuwa na maandamano ya hasira yaliofanywa na mamia ya watu mjini Cairo baada ya maafisa wa polisi kumpiga risasi na kumuua mchuuzi mmoja kuhusu kile walioshuhudia wanasema ni bei ya kikombe kimoja cha chai.
Mtu mmoja zaidi alipigwa risasi na kujeruhiwa katika kisa hicho kilichofanyika mashariki mwa makaazi ya mji mkuu wa taifa hilo.
Afisa mmoja mwanadamizi katika kikosi cha polisi amesema kuwa mgogoro huo ulikuwa ni kuhusu bei ya kikombe cha chai.
Kanda za video zimechapishwa mtandaoni zikionyesha uma wa watu ukivunja gari moja la maafisa wa polisi huku ukisema kuwa ''polisi na majambazi''.
Kumekuwa na msururu wa madai ya ukatili unaodaiwa kutekelezwa na polisi katika miezi ya hivi karibuni ambao umesababisha maandamano ya hasira.

Related Posts:

  • MAGAZETI YA LEO MEI 12 Read More
  • Kongamano la uchumi kufanyika Rwanda Kongamano la 26 la uchumi duniani linaanza leo mjini Kigali Rwanda. Hii ni mara ya kwanza kongamano hilo kuandaliwa Rwanda na mara yake ya pili kufanyika afrika mashariki. Kongamano hilo litakalowaleta pamoja marais wa mat… Read More
  • Besigye akamatwa kwa 'kujiapisha' UgandaTaharuki imetanda nchini Uganda baada ya kiongozi wa upinzani Dr Kizza Besigye, ''kujiapishwa kama rais'' siku moja tu kabla ya kuapishwa rasmi kwa rais Yoweri Museveni . Haijulikani ni vipi Dr Kiiza Besigye alikwepa kizuizi … Read More
  • Trump alegeza msimamo kuhusu WaislamuMgombea Urais wa Republican anaonekana kulegeza msimamo kuhusiana na pendekezo lake tata la kuwazuia Waislamu kuingia Marekani. Katika mahojiano na kituo cha television cha Fox News, Donald Trump akijibu kauli ya meya mpya wa… Read More
  • 50 wafariki kwenye mafuriko EthiopiaTakriban watu 50 wamefariki kufautia mafuriko na maporomoko ya ardhi yaliosababishwa na mvua kubwa katika baadhi ya maeneo Ethiopia. Taifa hilo la upembe wa Afrika linakabiliwana ukame mbaya kuwahi kushuhudiwa katika miaka… Read More