Recent Posts

PropellerAds

Wednesday, April 27, 2016

Polisi wanasa saa ya dola milioni moja Nigeria


Polisi wa kupambana na ufisadi nchini Nigeria, wamenasa saa ya thamani ya takriban dola milioni moja kutoka kwa nyumba ya waziri wa zamani wa mafuta anayechunguzwa kwa ufisadi.
Saa hiyo ya kipekee ni moja tu kati ya makumi ya mapambo ya dhahabu almasi na fedha zilizonaswa katika operesheni hiyo ya kuvizia katika nyumba ya aliyekuwa waziri wa mafuta wa Nigeria katika utawala uliopita bi Diezani Madueke.
Polisi wa kupambana na ufisadi nchini Nigeria, wamenasa saa ya thamani ya takriban dola milioni moja kutoka kwa nyumba ya waziri wa zamani wa mafuta anayechunguzwa kwa ufisadi.
Saa hiyo ya kipekee ni moja tu kati ya makumi ya mapambo ya dhahabu almasi na fedha zilizonaswa katika operesheni hiyo ya kuvizia katika nyumba ya aliyekuwa waziri wa mafuta wa Nigeria katika utawala uliopita bi Diezani Madueke.
 
Shirika la kupambana dhidi ya ufisadi la Nigeria (Economic and Financial Crimes Commission) limeithibitishia BBC kuwa bi Madueke anachunguzwa kufuatia madai ya ufisadi.
Mabilioni ye fedha zilitoweka katika wizara hiyo akiwa mamlakani.
 
Fedha hizo zilikuwa sehemu ya mapato yanayotokana na mauzo ya mafuta katika soko la kimataifa.
Mwaka uliopita bi Madueke alikamatwa na kuhojiwa na maafisa wa upelelezi wa Uingereza lakini akaachiwa kwa dhamana.
 
Rais mpya wa Nigeria Muhammadu Buhari alichaguliwa kwa nia ya kumaliza kabisa ufisadi uliokuwa umekithiri nchini humo.
Rais Muhammadu ameahidi kutokomeza kabisa ufisadi.

Related Posts:

  • Back to the Future of Youth Ministry Back to the Future of Youth Ministry Youth ministry is a very slippery topic. It is difficult to even pinpoint its origin because youth ministry has yet to be well-defined. I spend a lot of time these days off-campus, spe… Read More
  • vitamin D inaweza kumkinga mtu asiambukizwe na mafua? Ushapatwa na mafua ya pneumonia? basi si wewe peke yako, wewe ni miongoni mwa asilimia 70 ya watu waliougua mafua au pneumonia nchini Uingereza. Lakini utafiti mpya unaonyesha kuwa watu milioni 3 huenda wakapata kinga ya maf… Read More
  • Watangazaji wauawa wakiwa hewaniWanaume watatu wamekamatwa kufuatia mauaji ya watangazaji wawili wa kituo cha Radio waliokuwa hewani katika Jamuhuri ya Dominika. Mmoja wa waandishi alikuwa akipeperusha matangazo kwenye ukurasa wa Facebook wakati alipopigwa … Read More
  • Maharusi waliotumia dola pekee waandaliwa harusi ya kifahari Kenya Maharusi waliowasisimua wengi baada ya kutumia Sh100 pekee za Kenya kugharimia harusi, wameandaliwa sherehe ya harusi ya kufana jijini Nairobi. Sherehe hiyo ya marudio imeandaliwa katika bustani ya Eden Bliss, Nairobi uli… Read More
  • Florentin Pogba kukabiliana na nduguye Paul PogbaMchezaji wa kimataifa wa Guinea Florentin Pogba amekiri kuwa mamake atakuwa katika hali ngumu wakati atakapotazama akimkabili nduguye mdogo Paul katika mechi ya ligi ya Europa. Siku ya Alhamisi Florentin ataichezea St Etienne… Read More