Recent Posts

PropellerAds

Saturday, April 30, 2016

Urusi na Marekani zalaumiana kuhusu uchokozi wa ndege

Urusi inasema kuwa ilikuwa na haki kuikabili ndege
moja ya Marekani katika bahari ya Baltic siku ya
Ijumaa.
Hatua hiyo inajiri baada ya Marekani kusema kuwa
ndege ya kijeshi ya Urusi ilizua hofu ya kiusalama
baada ya kuzunguka karibu na ndege yake.
Urusi inasema kuwa ndege hiyo ya Marekani ilikuwa
imezima kifaa chake cha kurusha ishara zake ambazo
husaidia wengine kuitambua.
Ni kisa cha pili katika bahari ya Baltic mwezi huu
ambapo Marekani imezishtumu ndege za Urusi kwa
kupaa kwa uchokozi.
''Ndege zetu zote za Urusi zinafuata sheria za
kimataifa kuhusu utumiaji wa anga'',taarifa ya wizara ya
Ulinzi nchini Urusi ilisema.
''Ndege za Marekani zina mambo mawili:Zisiruke karibu
na mpaka wetu ama ziwashe ishara ili kutambulika''.
Ndege za Marekani mara kwa mara hujaribu kupaa
karibu na anga ya Urusi bila taa zinazoonyesha ishara
taarifa hiyo ilisema.
Katika kipindi cha miezi 18 iliopita,Urusi pia
imeshtumiwa kwa kutekeleza kitendo kama hicho katika
bahari ya baltic pamoja na karibu na maji ya Uingereza.

Related Posts:

  • More Than Words She put her world on hold for my sake. Four years ago, when I suddenly found myself in the hospital for ten scary and torturous days, my wife Luella never left my side. It wasn’t just that she was there during normal visiti… Read More
  • Does Junk Food Dishonor God? Giving Thanks for Junk Food? Good question. Here’s my answer in a couple of sentences, and then I’m going to just kind of ramble. I want to talk Bible here, but that is kind of hard. You’ll see if it helps. Here’s my answ… Read More
  • Live Like Death Is the Beginning Where did Abraham find the faith to lay his one and only son on the altar? He did not lay his incarnate promise on the altar because it made sense or he could prove it doctrinally or because the promise was dispensable. A… Read More
  • God Will Sustain You a Day at a Time Earlier this year, my arms completely gave out as I was getting ready. I couldn’t even get dressed by myself. I was exhausted, and it wasn’t even nine in the morning. I suffer from post-polio syndrome, and I’m never sure wh… Read More
  • Does Grace Still Amaze You? Years ago, I spoke at a large event where the vocalist sang one of my favorite songs, “Amazing Grace.” But I was taken aback when I heard the first line: “Amazing grace, how sweet the sound, that saved a soul like me.” The… Read More