Recent Posts

PropellerAds

Friday, April 29, 2016

Wafanyakazi hawajalipwa Nigeria

 
Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amesema ana wasiwasi mkubwa kwamba karibu theluthi mbili ya majimbo 36 nchini humo hayana uwezo wa kuwalipa waanyakazi mishahara, licha ya kupokea udhamini kutoka kwa serikali ya shirikisho.
Rais Buhari amesema atajaribu kuwasilisha fedha zaidi lakini ameonya kwamba serikali kuu pia inakabiliwa na matatizo ya fedha.
Ni hivi maajuzi tu ambapo maafisa katika jimbo lililopo kaskazini mashariki mwa nchini hiyo, waligundua uhuni wa kuwalipa mishahara wafanyakazi hewa wa serikali.
Hatua zilichukuliwa kuwasaka na kuwaondosha wafanyakazi hao hewa kutoka orodha ya wafanyakazi wa serikali, na mamilioni ya dola yaliokolewa.
Nigeria, ambayo ni nchi inayozalisha mafuta ya kiwango kikubwa Afrika, imeathirika pakubwa na kushuka kwa bei za mafuta

Related Posts:

  • Justin Bieber ashtakiwa kwa kuvunja simu Mwanamuziki Justin Bieber ameshtakiwa kwa dola milioni 100,000 kwa madai kwamba alivunja simu. Nyota huyo ametuhumiwa kuivunja simu ya Robert Earl Morgan baada ya kujaribu kumrekodi Bieber wakati alipokuwa akinywa pombeKI… Read More
  • Hali ya hatari yatangazwa CanadaGavana wa jimbo la Alberta nchini Canada ametangaza hali ya hatari wakati moto mkubwa wa msituni unapoteketeza maeneo ya mji wa Fort McMurray.Maafisa wanasema kuwa nyumba 1600 na majengo mengine yameharibiwa na moto huo amb… Read More
  • Chama tawala Uturuki kuchagua kiongoziRipoti kutoka nchini Uturuki zinasema kuwa chama tawala cha PKK kitakutana baadaye mwezi huu kumchagua kiongozi mpya kufuatia wiki kadha za tofauti kati ya viongozi wawili wakuu wa chama hicho. Mkuu wa chama waziri mkuu Ahm… Read More
  • Maafikiano ya kusitisha vita Syria Marekani inasema kuwa makubaliano yameafikiwa na Urusi ya kuongeza muda wa usitishwaji mapigano nchini Syria ikiwemo kwenye mji unaokumbwa na mapigano wa Aleppo. Waziri wa mashauri ya nchi za kigeni wa Marekani John Kerr… Read More
  • Donald Trump azidi kupetaJohn Kasich amejitoa kwenye kinyanganyiro cha mchujo wa kugombea urais katika chama cha Republican na kumuacha Donald Trump kama mgombea wa pekee. Bw Kasich alitoa tangazo hilo kwenye mkutano na waandishi wa habari nyumbani… Read More