Recent Posts

PropellerAds

Thursday, April 28, 2016

Biden afanya ziara ya ghafla Iraq

IraqMakamu wa rais wa Marekani, Joe Biden, ameiunga mkono serikali ya Iraq iliyoko taabani, baada ya ziara yake ya ghafla, na ya kwanza nchini humo kwa kipindi cha miaka mitano.
Ikulu ya White House inasema ziara hiyo ilikuwa ishara ya kuunga mkono serikali ya Iraq, kutokana na juhudi za waziri mkuu Haider al-Abadi.