Mgombea wa kiti cha urais wa Marekani kwa tiketi ya
chama cha Republican Donald Trump, hana ufahamu
wowote wa sera za kigeni wala maswala ya ulimwengu!
Haya ni kulingana na rais wa Marekani Barrack
Obama.
Obama ameyasema haya kufuatia matamshi ya Donald
Trump kuwa wanajeshi wa Marekani wanafaa kuondoka
Japan na Korea Kusini, na mataifa hayo yanafaa
kutengeneza zana zao za kinyuklia.
Mataifa hayo mawili pia hayakufurahishwa na matamshi
ya bwana Trump.
“Tuache kutumia kuni na mkaa tutu nishati safi” Naibu Waziri
-
Wakazi wa Kijiji cha Msomera, Wilaya ya Handeni mkoani Tanga wamemshkuru
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. Samia Suluhu Hassan kwa
maende...
1 day ago