Recent Posts

PropellerAds

Tuesday, April 19, 2016

Msomi avua nguo kwa kufungiwa ofisiMsomi avua nguo kwa kufungiwa ofisi


Hatua ya mwanamke mmoja msomi ya kuvua nguo nchini Uganda imezua mjadala mkali nchini humo.
Baada ya kukerwa na hatua ya kufungiwa nje ya ofisi yake na usimamizi wa chuo kikuu cha Makerere, Stella Nyanzi alivua nguo zote kama njia ya kupinga.
Hata hivyo mwishowe aliruhusiwa kuingia ofisini mwake. Wengi wa wafuasi wake wanasema kuwa alilazimishwa kufanya hivyo kutoka na yake alikuwa akitendewa.
Hata hivyo wale wanaomkosoa wanasema kwa amekiuka maadili na kwamba mwanamke hastahili kuwa uchi hadharani.
Gazeti la the New Vision nchini humo linasema kuwa waziri anayehusika na maadili anataka Nyanzi akamatwe.

Related Posts:

  • The Lips of Knowledge Are a Precious Jewel I think I inherited from my mother a love for the book of Proverbs in the Old Testament. They were well marked on the india pages of her Bible, and she quoted them to me often. I think probably they loomed large in her life,… Read More
  • Peaches in Paradise Why I Loved Elisabeth Elliot Article by  John Piper At 6:15 on the morning of June 15, 2015, Elisabeth Elliot died. It is a blunt sentence for a blunt woman. This is near the top of why I felt such an affection and admiration for her. Blun… Read More
  • God Hates What Happened to You I don’t know how you would have answered before, but I have tried to give you a structure of biblical thought to know how to answer that question in a way that not only corresponds with the reality of biblical truth, but w… Read More
  • The ‘Always’ and ‘Never’ of Suicide Extremes of wretchedness. Charles Spurgeon once said, “I am the subject of depressions of spirit so fearful that I hope none of you ever get to such extremes of wretchedness as I go to.” Suicidal ideations often begi… Read More
  • You Kept Your Promises to Mom Six Reasons We Love Faithful Fathers Sunday is not Mother’s Day, and Mother’s Day is not Parent’s Day. In God’s common kindness, on the third Sunday of June, at least in the United States, we honor fathers. Even though we often praise mothers and fathers for… Read More