Recent Posts

PropellerAds

Thursday, April 28, 2016

Kenyatta ataka hatua madhubuti kulinda ndovu

KenyaRais wa Kenya Uhuru Kenyatta ametoa wito wa hatua madhubuti kuchukuliwa dhidi ya biashara haramu ya pembe, kabla ya kongamano la viongozi wa bara Afrika la kujadili mikakati ya kuwalinda ndovu.
Rais Kenyatta amesema kuwa ndovu wanakabiliwa na hatari ya kuangamizwa na kizazi kipya cha wawindaji haramu, waliojihami vilivo na walio na uhusiano wa kimataifa, na matokeo yake yamekuwa mabaya sana.