Recent Posts

PropellerAds

Saturday, April 16, 2016

Ibada maalum Korea Kusini yaadhimishwa

Ibada maalum imeendelea leo huko Korea Kusini
kuadhimisha miaka miwili ya kuwapoteza watu mia tatu
wa taifa hilo ambapo wengi kati ya hao wana funzi,
ambao walikufa kutokana maafa kivukoni.
Ndugu waliokuwa wakiomboleza walionekana wakirusha
maua baharini karibu na mahali ambapo kivuko cha
Sewol kilipunduka.
Kikosi cha uokozi kinajiandaa kukiibua kivuko hicho ili
kuweza kupata miili ya watu wengine tisa ambao bado
hawajapatikana. Wakati kivuko hicho
kikizama,inasemekana kilikuwa kimebeba uzito uliozidi
uwezo wake kisheria.
Nahodha wa kivuko hicho tayari anatumikai kifungo cha
maisha gerezani kwa kosa la mauaji kizembe.

Related Posts:

  • You reap what you sow, more than you sow, and later than you sow.   Today is the father of tomorrow. What we are today is the result of what we have been thinking and the way we have lived in the past. Those who act wisely today will have wisdom in the future to make wise decision… Read More
  • The Seventh Yearif only you listen obediently to the voice of the LORD your God, to observe carefully all this commandment which I am commanding you today. 6"For the LORD your God will bless you as He has promised you, and you will lend to… Read More
  • You Reap What You Sow   2 Corinthians 9:6 - "Remember this: Whoever sows sparingly will also reap sparingly, and whoever sows generously will also reap generously"  You have likely heard this famous verse from the Bible at some point … Read More
  • Five Things We Forget About Heaven In 1952, Florence Chadwick tried to swim from Catalina Island to the coast of California. For fifteen hours, she endured choppy waters, possible shark attacks, and extreme fatigue. Then a thick fog set in. She gave up. … Read More
  • Zawadi kuu Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE … Read More