Recent Posts

PropellerAds

Thursday, April 28, 2016

UK yashauriana na Cuba

CubaWaziri wa mambo ya kigeni wa Uingereza Philip Hammond ameshiriki kikao cha mzungumzo na mwenzake wa Cuba Bruno Rodríguez, katika ziara ya kwanza tangu mapinduzi ya mwaka 1959. Mazungumzo hayo yalijikita katika vigezo vinne muhimu: huduma za kifedha, kawi, elimu ya juu na utamaduni.

Related Posts:

  • band ya muziki yamzingua Trump kucheza muziki wao Wanamuziki wa The Rolling Stones wamemtaka mgombea wa urais kupitia tiketi ya chama cha Demokrat Donald Trump kuwacha kucheza muziki wao wakati wa kampeni zake za urais. Bendi hyo imetoa taarifa ikisema kuwa mgombea huyo… Read More
  • Shambulio Syria huenda ni ‘uhalifu wa kivita Afisa wa cheo cha juu wa Umoja wa Mataifa anasema kuwa shambulizi la angani katika kambi moja ya wakimbizi nchini Syria, linalohofiwa kusababisha vifo vya watu 30, huenda likaorodheshwa kuwa uhalifu wa kivita. Mkuu wa kit… Read More
  • Busu la Bieber na aliyekuwa mpenziwe lavutia Instagram Picha ya mwanamuziki Justin Bieber akimpiga busu aliyekuwa mpenziwe Selena Gomez ndio picha iliopendwa na wengi katika mtandao wa instagram. Imependwa na watu milioni 3,569,000 huku watu 350,000 wakiipenda dakika 15 tu ba… Read More
  • Mfanyabiashara Jacob Juma auawa Nairobi Mfanyabiashara mashuhuri Jacob Juma, ambaye amekuwa akizua mjadala mitandaoni Kenya kutokana na ujumbe wake anaoandika hasa kwenye Twitter, ameuawa kwa kupigwa risasi jijini Nairobi. Taarifa zinas… Read More
  • Bomoabomoa yaanza Nairobi baada ya mkasa Serikali ya jimbo la Nairobi imeanza kubomoa nyumba ambazo maafisa wanasema hazifai kuishi watu. Shughuli hiyo inatekelezwa baada ya jumba moja la makazi la ghorofa sita kuporomoka Ijumaa wiki iliyopita na kuua watu 36. W… Read More