Recent Posts

PropellerAds

Thursday, April 28, 2016

UK yashauriana na Cuba

CubaWaziri wa mambo ya kigeni wa Uingereza Philip Hammond ameshiriki kikao cha mzungumzo na mwenzake wa Cuba Bruno Rodríguez, katika ziara ya kwanza tangu mapinduzi ya mwaka 1959. Mazungumzo hayo yalijikita katika vigezo vinne muhimu: huduma za kifedha, kawi, elimu ya juu na utamaduni.