Recent Posts

PropellerAds

Saturday, April 16, 2016

Mchezaji wa Newcastle United ahukumiwa na kutakiwa heri

Mchezaji nyota wa klabu ya Newcastle United ya
Uingereza amepigwa faini na hakimu na kisha akatakiwa
heri katika Ligi ya Premia.
Mshambuliaji Papiss Cisse, kutoka Senegal, aliadhibiwa
baada ya kupatikana na kosa la trafiki.
Alikuwa amepewa leseni ya kuendesha magari mwaka
mmoja nchini Uingereza lakini amekuwa akitumia leseni
hiyo kwa miaka mitatu.
Cisse, 30, anayeishi Darras Hall, Ponteland, alipewa
alama nne na akapigwa faini £547 na mahakimu
Newcastle.
Jedwali la msimamo wa ligi ya EPL
Klabu yake inakabiliwa na hatari ya kushushwa daraja
katika Ligi Kuu ya England na baada ya kumsomea
hukumu, mwenyekiti wa jopo la mahakimu Carolyn
Hyslop kisha alimwambia: "Kila la kheri kesho."
Newcastle United watakutana na Swansea City uwanjani
St James' Park Jumamosi kwenye mechi ambayo
wanahitajika kushinda kujiongezea matumaini ya
kunusurika.

Related Posts:

  • For Now We Rejoice God has promised his people supreme, unending, unshakeable happiness. Contrary to the claims of popular prosperity preachers, however, the supreme happiness God promises his people will not be realized in this life. Ours i… Read More
  • Njia Sita za kupata mafanikio Na,  Mwl. kenny jagaji. Mtu anafanikia kiukweli kwa kupata njia bora kabisa ya maisha ambayo inatokana a kufuata viwango vya Mungu na kuishi na kusudi la Mungu kwa wanadamu. Biblia inasemakwamba mtu anayeishi maisha y… Read More
  • KILIMO BORA CHA KAROTI UTANGULIZI Karoti ni zao la mbogamboga ambalo ni zao mzizi, kwa kawaida hupatikana katika rangi ya machungwa, zambarau, nyeusi, nyekundu, nyeupe na njano. Karoti za sasa zimetokeza kutokana na karoti pori, Daucus carota. K… Read More
  • Thirty Days Further from God Four years ago, in God’s kind providence, I found myself living in a crowded, dusty town in West Africa. One of the first friends I made was the shopkeeper across the street from my compound. He was a devout Muslim and a fai… Read More
  • Nguvu katika Kushukuru s    1.shukrani inasimamisha imani imani hupokea sasa na kuyaona ndani mambo yanayotarajiwa kuonekana nje baadaye. shukrani ni tendo la imani linaloonyesha umeshapokea sasa. pasipo matendo imani haizai, shukr… Read More