Recent Posts

PropellerAds

Sunday, June 12, 2016

Jeshi la Iraq lashambulia IS mjini Mosul


Ripoti kutoka Iraq zinasema vikosi vya serikali vimeshambulia wapiganaji wa Islamic state kusini mwa mji wa Mosul.
Taairfa za kijeshiznasema kuwa vikosi vimekuwa vikisogelea mji huo kwa kutumia vifaru na magari ya kivita, wakiungwa mkono na vikosi vya angani vinavyoongozwa na marekani.
Mashambulizi hayo yanaonekana kulenga ngome muhimu ya Islamic state kaskazini mwa taifa hilo.