Recent Posts

PropellerAds

Friday, June 17, 2016

TZ yataka uzoefu wa Qatar sekta ya gesi

Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amesema kuwa taifa lake linakusudia kufanya biashara na jamhuri ya Qatar haswa katika sekta ya gesi na usafiri wa ndege.
Rais Magufuli aliyasema hayo baada ya kukutana na balozi wa Qatar nchini Tanzania bwana Abdallah Jassim Al Maadadi.
Aidha rais Magufuli alitangaza nia ya kufungua ubalozi wa Tanzania mjini Doha kwa lengo la ''kuendeleza na kuimarisha zaidi uhusiano na ushirikiano na taifa hilo tajiri la ghuba.
"Najua Qatar ina uzoefu katika maeneo hayo na sisi Tanzania tungependa tushirikiane nanyi kuwekeza na kubadilishana uzoefu ili fursa hizo zilete manufaa kwa pande zote mbili" amesema bw Magufuli.
Katika taarifa kwa vyombo vya habari iliyotiwa sahihi na mkurugenzi wa mawasiliano wa ikulu Gerson Msigwa bw Magufuli alimtaka balozi huyo amhamasishe kiongozi wa Qatar , Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani na Jumuiya ya
wafanyabiashara wa Qatar kuhusu ''fursa nyingi za ushirikiano zinayoweza kufanyiwa kazi, huku akibainisha uwepo wa gesi asilia zaidi ya futi za ujazo Trilioni 57 na mpango wa kufufua shirika la ndege la taifa (ATCL)''.

Related Posts:

  • Kill Pride Before It Kills You   At some point today, someone will probably compliment or praise something you do or say. If not today, it will happen tomorrow, or sometime next week. How will you respond? How do you typically respond? How we r… Read More
  • Window cannot formatt diskThe Symptom When trying to format a USB drive or memory SD card for not being able to access it or something, the format process might fail with an error message saying that Windows was unable to complete the format. This err… Read More
  • MAMBO YA KUTAFAKARI KABLA YA KUFANYA UAMUZI WA KUOA AU KUOLEWAJambo la kwanzaKuoa au kuolewa kunabadilisha uhusianowako na wazazi wako. Mwanzo.2:24 anasema, “Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili moja”. Ukiangalia (Zaburi.4… Read More
  • Statement of FaithSection 1: The Bible We believe the Bible, comprised of the Old and New Testaments, to be the inspired, infallible, and authoritative Word of God (Matthew 5:18; 2 Timothy 3:16-17). In faith we hold the Bible to be inerrant i… Read More
  • Sheria za Ubongo: Kanuni kumi na mbili za kukuongoza katika sehemu yako ya kazi au Shuleni Na: Amani manamba 1.  Kuna uhusiano mkubwa kati ya mazoezi na utayari wa akili kufanya kazi. Mwandishi anatushirikisha kuwa mwili wa mwanadamu umeumbwa kiasi kwamba unaweza kutembea maili 12 kwa siku. Katika mzunguko hu… Read More