
Sasa anasema anataka kuwe na mchakato wa kuandaa kura ya maoni ya iwapo Uscochi itaitenge kutoka kwa Umoja wa Uingereza UK.
Bi Sturgeon anasema anataka hima kuweka mfumo huo kabla ya Uingereza kukamilisha hatua yake ya kujibandua kutoka EU.
Mbali na kutaka kujumuishwa moja kwa moja kwenye maamuzi yatakayochukuliwa , pia amesema mawaziri wa uskochi watawasiliana moja kwa moja na mawaziri wa nchi 27 wanachama wa EU kuhusiana na nia yao ya kutaka kusalia EU.