Recent Posts

PropellerAds

Tuesday, June 21, 2016

Korea Kusini kurejesha vyoo vya kale

Mamlaka katika mji mkuu wa Korea Kusini, Seoul, imebadili sera zake kuhusu vyoo vya umma.
Utafiti uliofanywa ulibaini kuwa robo ya watu weote waliohojiwa walitaka kuwepo vyoo vya kale vyenye shimo badala vya kisasa.
Vyoo vya kale nchini korea kusini vilikuwa vya kuchuchumaa
Lakini serikali iliamua kuwa wakati nchi hiyo ilipounuka na kuwa tajiri, ilikuwa bora kujenga vyoo vya kisasa.
Mamlaka ya mji wa Seoul iliwahoji watu 3,137 na kugundua kuwa, karibu robo ya watu hao wanataka kurejeshwa vyoo vya kale.
Watu hao hasa wanawake wasema kuwa vyoo vya kisasa havizingatii usafi kwa sababu vinahitaji mtu kukaa kwa kiti.

Related Posts:

  • Trauma Is Not a Life Sentence Trauma is a certain kind of suffering — the kind that overwhelms one’s ability to cope. A whole class of wounds that cripple. A wound that buries itself deep in our consciousness. A tragedy too heavy for us. It hap… Read More
  • God Parents Us Through Trials God is a good parent. He’s a perfect parent actually. When I go through times of suffering, I remind myself of this truth. When I’ve asked, “Why God? Why did this have to be your will for me?” I think about how he uses trial… Read More
  • Every Good Mom Dies I’m expecting child number three soon. It feels like starting from the beginning. After two boys, we’ll be having a girl. It’s fun to put together a brand new wardrobe and nursery decorations. We enjoy hearing my sons talk a… Read More
  • You Can Win the War Against Sin If you’re a Christian, you know war. War with your pride, war with your lust, war with your anger. War at home, war at work, war when you’re alone. War in your head, war in your heart, war in your mouth. Kill one enemy, a… Read More
  • If You Want to Live Truly, Learn to Die Daily All year round the thorn of the gorse bush has been hardening and sharpening. Even in spring, the thorn does not soften or fall off. But at last, about halfway up, two brown furry balls emerge. They are small at first, but t… Read More