Recent Posts

PropellerAds

Monday, June 20, 2016

Dodoma yakumbwa na ugonjwa usiojulikana

Hofu na wasi wasi umezidi kutanda huko mkoani Dodoma katikati mwa Tanzania baada ya kuibuka kwa ugonjwa usiojulikana.
Hadi sasa jumla ya watu saba wamefariki na wengine 21 kulazwa katika hospital ya mkoa mjini Dodoma baada ya kuzuka ugongwa huo ambao hadi sasa madaktari haujui tiba yake.
Dalili za ugonjwa huo ni pamoja na kutapika, kuharisha, ngozi na macho kuwa ya njano pamoja na kuumwa na tumbo.
Kufuatia kuibuka kwa ugonjwa huo tayari kumetengwa wodi maalum katika hosptali ya taifa ya rufaa ya Dodoma katikati mwa Tanzania ambapo pia karantini imewekwa na hakuna anayeruhusiwa kukaribia mahali hapo zaidi ya madaktari ambao nao pia wanaingia kwenye wodi kuwaona wagonjwa kwa tahadhari kubwa.

Related Posts:

  • The Hour Had Come “The hour has come. The Son of Man is betrayed into the hands of sinners.” (Mark 14:41) All Jesus’s human life had anticipated this hour. Every careful attempt at keeping the messianic secret. Every emotional investment p… Read More
  • Are You Insulting God in Worship? The misunderstanding of a short, three-letter word can transform an act of heartfelt worship into a slanderous insult. Perhaps you’ve heard Matt Redman’s song “Here for You” and are familiar with its lyrics. Here’s the fi… Read More
  • Is Your Joy Real or an Imposter? Do you believe that “real enjoyment is essential to real godliness,” or does that sound more like a tagline for the power of positive thinking? Or maybe a self-serving cliché on the lips of some popular prosperity preacher… Read More
  • Do You Exercise for the Wrong Reasons? “When I run, I feel God’s pleasure.” Such were the memorable words of Olympic sprinter and Christian missionary Eric Liddell (1902–1945), at least through the lens of Chariots of Fire, the 1981 Oscar-winning film tha… Read More
  • We Must Live With This “Let anyone who has no love for the Lord be accursed.” (1 Cor 16:22, NET) This verse seems to dangle there with no immediately apparent connection to what precedes it or follows. Paul placed this thought in the very last … Read More