Recent Posts

PropellerAds

Thursday, June 9, 2016

Aliyemdhihaki rais Magufuli ahukumiwa


Mtu aliyemdhihaki rais John Pombe Magufuli wa Tanzania amehukumiwa na mahakama ya Tanzania.
Kulingana na mtandao wa EATV5, Mtuhumiwa huyo Isack Habakuki alipigwa faini ya shilingi milioni 7 na hakimu mkazi wa Arusha Augustine Rwizile.
Hababuki alipatikana na kosa la kumuita bwege Rais John Pombe Magufuli kupitia mtandao wa kijamii.
Akisoma hukumu hiyo katika mahakama ya Arusha,hakimu huyo alisema kwamba kwa kuwa kosa hilo lilikuwa la kwanza mbali na kutetewa vikali na wakili wake mahakama iliamua mshtakiwa apunguziwe adhabu.
Vievile Kulingana na mtandao huo,simu yake aliyotumia kutuma ujumbe huo wa kuudhi katika mitandao ya kijamii imetaifishwa.
Kabla ya hukumu hiyo kutolewa wakili wa serikali, Vitalisi Timoni, aliiambia Mahakama kuwa mshitakiwa huyo aliandika ujumbe huo mnamo mwezi Machi 17 mwaka huu na walipofanya utafiti walimtambua kabla ya kumkamatwa na kuhojiwa katika kituo cha Polisi Osterbei Dar es Salaam ambapo alikiri kuandika ujumbe huo.

Related Posts:

  • Strengthen me to wait patiently. Article by  Scott Hubbard Wait. Few words are less welcome. Few, if any, take hearts raised high and drop them so hard. “Hope deferred makes the heart sick” (Proverbs 13:12). When we wait long for something pr… Read More
  • Bleakness in Life When we begin to despair in life — about marriage, or lost loved ones, or sickness, or work, or ministry — darkness falls like a fog. Spiritually, we struggle to make sense of our surroundings. The eyes of our heart squint,… Read More
  • Hope Distinguishes Us Article by  Matt McCullough Pastor, Nashville, Tennessee “Sojourners and exiles.” When Peter wrote his first letter to new believers living in Asia Minor, that’s how he addressed them. Not that they had reloc… Read More
  • Worth Every Sacrifice Article by  David Mathis Executive Editor, desiringGod.org Jesus told a one-sentence parable about a man who “sold all that he had.” He was a merchant who found something so precious that it far surp… Read More
  • Sin Will Never Make You Happy Carved in the bark of every tree in the garden of God are the words, “If it dies, it bears much fruit” (John 12:24). Three words are branded into the flesh of every Christian: “You . . . have . . . died” (Colossians 3:3)… Read More