Papa Francis amewataka Wakatoliki Duniani
kuwaomba radhi watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia
moja kwa madai kuwa si haki kuwahukumu na
kuwachukulia kinyume kwani kanisa halina mamlaka
ya kuwahukumu.
Akizungumza na waandishi wa habari ndani ya ndege
wakati akirejea kutoka Armenia,Papa Francis kanisa pia
linapswa kuwaomba makundi mengine ambayo
yametengwa kama vile wanawake,masikini na watoto
ambao wapo katika ajira hatarishi. Hata hivyo baadhi
ya wakatoliki wenye msimamo mkali wamepinga hatua
yake ya kuwazungumzia watu wanaoshiriki mapenzi ya
jinsia moja.
Wanafunzi Kapeta,Kiwira warithishwa ari ya utunzaji mazingira
-
Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), kwa kushirikiana na Shirika la
Utangazaji la Tanzania (TBC), wameendesha zoezi la upandaji miti katika
Shule ya msi...
8 hours ago