Recent Posts

PropellerAds

Monday, June 27, 2016

Msiwahukumu wa mapenzi ya jinsia moja :Papa Francis

Papa Francis amewataka Wakatoliki Duniani
kuwaomba radhi watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia
moja kwa madai kuwa si haki kuwahukumu na
kuwachukulia kinyume kwani kanisa halina mamlaka
ya kuwahukumu.
Akizungumza na waandishi wa habari ndani ya ndege
wakati akirejea kutoka Armenia,Papa Francis kanisa pia
linapswa kuwaomba makundi mengine ambayo
yametengwa kama vile wanawake,masikini na watoto
ambao wapo katika ajira hatarishi. Hata hivyo baadhi
ya wakatoliki wenye msimamo mkali wamepinga hatua
yake ya kuwazungumzia watu wanaoshiriki mapenzi ya
jinsia moja.

Related Posts:

  • Je? umeandika njozi yako“Success is predictable, so is the failure” Nakubaliana na mwenye hekima mmoja aliyesema, “Success is predictable, so is the failure” (“Kufanikiwa au kutofanikiwa ni jambo la kutabirika”: Tafasiri isiyo rasmi). Kwa lugha r… Read More
  • msimdharau mshindani wako Don’t underestimate your rival   Ikiwa mhitimu wa chuo kikuu ataambiwa ajiandae kwa mtihahi wa darasa la kwanza, nadhani maandalizi pekee atakayofanya ni kwenda kwenye huo mtihani ambao unaonekana ni wa chini sana ukil… Read More
  • Kufikiri vizuri kumenifikisha hapa  Makala hii ni miongoni mwa makala za hayati Munga Tehenan, zilizowahi kutoka katika Gazeti la Jitambue. (Gazeti hilo limesimama kuchapishwa kutokana na sababu za kiufundi)Nimeamua kuirejea makala hii kwa sababu ina… Read More
  • Je? wajua ufunguo wa maisha yenye ufanisi   Biblia imeweka wazi kwamba, watu wamjuao Mungu wao watatenda mambo makuu. Ufunguo wa maisha yenye ufanisi upo katika kupata maarifa, ufahamu na kujua hekima ya jinsi itupasavyo kuenenda ili kuishi maisha ya ushindi … Read More
  • The solutions for solving marriage problems  Marriage is the most intimate relationship two human beings can experience, second only to a relationship with God. Marriage brings out the best and the worst in most people, as two separate individuals struggle to … Read More