Recent Posts

PropellerAds

Saturday, June 4, 2016

Serikali ya Kenya yasema shisha ina Cocaine


Wizara ya afya ya Kenya imekuwa ikitoa tahadhari dhidi ya matumizi ya uvutaji wa shisha ,katika siku hii ya kuadhimisha siku ya tumbaku duniani.
Siku hii ilitengwa na Shirika la Afya duniani kuwaonya watu kuhusu hatari za uvutaji wa sigara.Katika chapisho lao la Twitter , wizara hiyo imesema imepata chembechembe za dawa aina ya cocaine na dawa nyengine katika sampuli 4 kati ya 5 zilizotolewa kwa bidhaa za tumbaku ambazo hutumiwa na watu ambao hutumia viko kuvuta tumbaku.

Related Posts:

  • Let’s (Not) Talk About Sex, Baby We all know boundaries are vital for healthy relationships, and especially for dating relationships. Even if you’ve been prone to cross the lines you’ve drawn in the past, you can admit that lines need to be drawn between… Read More
  • Love the One You’re With It can be really hard to love the church. Every Christian, who’s been one for very long, knows this. The earthly church has always been a motley crew. It’s never been ideal. The New Testament exists because churches, to… Read More
  • 10 Powerful Principles to Endure Suffering No one enjoys suffering, but suffering is a necessary, normal part of the Christian life. In fact, the Scripture says we can expect hardships and suffering to increase (2 Tim. 2:3; 3:1-4, 13), so we must be prepared. We… Read More
  • Psalms 42–72 For the director of music. A maskil of the Sons of Korah. 1 As the deer pants for streams of water, so my soul pants for you, my God. … Read More
  • Love and Respect Basics for Marriage Scripture teaches us that Christians should honor or respect all men (1 Peter 2:17). Every human being bears the image of God, and so, of course, we are called on to respect and honor that. And of course, Scripture also t… Read More