Wizara ya afya ya Kenya imekuwa
ikitoa tahadhari dhidi ya matumizi ya uvutaji wa shisha ,katika siku hii
ya kuadhimisha siku ya tumbaku duniani.
Siku hii ilitengwa na Shirika la Afya duniani kuwaonya watu kuhusu hatari za uvutaji wa sigara.Katika chapisho lao la Twitter , wizara hiyo imesema imepata
chembechembe za dawa aina ya cocaine na dawa nyengine katika sampuli 4
kati ya 5 zilizotolewa kwa bidhaa za tumbaku ambazo hutumiwa na watu
ambao hutumia viko kuvuta tumbaku.
RC MALIMA ATAKA WANANCHI KUPIMA AFYA WAKATI WA KAMBI YA MADAKTARI BINGWA
-
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Kighoma Malima amewataka wananchi wa
Mkoa huo kujitokeza kwa wingi kushiriki kupima Afya zao wakati wa Kambi
Maalum ya...
8 hours ago