Wizara ya afya ya Kenya imekuwa
ikitoa tahadhari dhidi ya matumizi ya uvutaji wa shisha ,katika siku hii
ya kuadhimisha siku ya tumbaku duniani.
Siku hii ilitengwa na Shirika la Afya duniani kuwaonya watu kuhusu hatari za uvutaji wa sigara.Katika chapisho lao la Twitter , wizara hiyo imesema imepata
chembechembe za dawa aina ya cocaine na dawa nyengine katika sampuli 4
kati ya 5 zilizotolewa kwa bidhaa za tumbaku ambazo hutumiwa na watu
ambao hutumia viko kuvuta tumbaku.
Wanafunzi Kapeta,Kiwira warithishwa ari ya utunzaji mazingira
-
Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), kwa kushirikiana na Shirika la
Utangazaji la Tanzania (TBC), wameendesha zoezi la upandaji miti katika
Shule ya msi...
8 hours ago