Recent Posts

PropellerAds

Wednesday, June 15, 2016

Obama amshtumu Trump kuhusu kuwazuia Waislamu

Rais wa Marekani, Barack Obama, ameshtumu vikali matamshi ya mgombea urais kwa tiketi ya chama cha Republican, Donald Trump, kwamba waislamu wasiruhusiwe kuingia Marekani. Obama amesema hiyo 'si marekani wanayohitaji.'
''Kuwabagua Waislamu wa Marekani kutasababisha nchi hiyo kukosa usalama,na kuongeza tofauti iliopo kati ya nchi za magharibi na zile za kislamu'', Obama alisema
Siku ya Jumatatu bwana Trump, aliongezea kuhusu mpango wa kupiga marufuku nchi zote ambazo zina historia ya kutekeleza mashambulizi dhidi ya Marekani.
Alisema shambulio la ufyatuliaji risasi la Orlando linathibitisha yote.
Watu 49 waliuawa, baada ya Omar Mateen raia wa Marekani ambaye wazazi wake ni raia wa Afghan kufyatua risasi katika kilabu ya wapenzi wa jinsia moja huko Orlando.
Bwana Trump amesema pendekezo lake litatekelezwa kupitia (uamuzi wa pamoja ) iwapo rais atapewa mamlaka ya kupiga marufuku uingizaji wa watu wenye daraja lolote katika nchi hiyo jambo ambalo rais ataliona kuleta madhara ya kiusalama kwa Marekani
Lakini siku ya Jumanne katika wizara ya fedha mjini Washington,Obama aliyekuwa amekasirishwa na matamshi hayo ya Trump alimshambulia mgombea huyo anayetarajiwa kuthibitishwa kuwa mteuzi wa urais wa chama cha Republican mwezi ujao.

Related Posts:

  • “Fear Not! Take Courage!” In Matthew 14:27, the Bible reads, “But immediately Jesus spoke to them, saying, ‘Take heart; it is I. Do not be afraid.’” A storm rose quickly on the Sea of Galilee, & the disciples were afraid.  Although they had… Read More
  • What Is the Unforgivable Sin? “Blasphemy against the Spirit will not be forgiven.” It’s one of Jesus’s most enigmatic, controversial, and haunting statements. In the last two millennia, many a tortured soul have wrestled over this warning. Have I c… Read More
  • The Book Of Books In 2 Timothy 3:16-17, the Bible reads, “All Scripture is breathed out by God & profitable for teaching, for reproof, for correction, & for training in righteousness, that the man of God may be complete, equipped for… Read More
  • Jesus Is Precious Because He Removes Our Guilt Guilt is a universal experience. Everybody at some time or other has had the bad feeling of not doing what he ought to have done. Even people who deny that there is any such thing as right and wrong are trapped by the law … Read More
  • When God Calls You Out Indeed, we felt that we had received the sentence of death. But that was to make us rely not on ourselves but on God who raises the dead.2 Corinthians 1:9 If we don’t sometimes feel like we’re “in over our heads,” it ma… Read More