Recent Posts

PropellerAds

Wednesday, June 22, 2016

Korea Kaskazini yalipua tena makombora


Korea Kusini inasema kuwa majirani zao Korea Kaskazini kwa mara nyingine tena, wameifanyia majaribio makombora yake mawili, hatua ya wazi ya kuonesha kukiuka hatua Umoja wa mataifa kuiwekea taifa hilo vikwazo vya kiuchumi. Taarifa zasema kombora la kwanza halikufanikiwa huku la pili likisafiri umbali wa kilomita mia nne.
Msemaji wa Waziri wa Umoja wa taifa wa Korea Kusini Joeng Joon-hee amesema majaribio hayo ni kukiuka vikwazo.
"Ulipuaji huo makombora kwa kutumia Teknolojia ya angani unakiuka maazimio ya Umoja wa mataifa. NIa ni uchokozi dhidi yetu. Tunashauri ni vyema kwa Korea Kaskazini kuzidisha nguvu katika kuimarisha amani katika eneo la rasi ya Korea na kwa maisha ya watu wake ambayo Korea kaskazini imekuwa ikisititiza kila wakati." Amesema
Naye waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe amelaani hatua hiyo Korea ya Kaskazini.
"Leo kumelipuliwa makombora kwa kutumia teknolojia ya angani iliyotumika zamani huu ni ukiukwaji wa wazi wa azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa mataifa. hatutarusu na tutaandaa azimio la kupinga hatua hiyo," amesema Waziri Mkuu huyo

Related Posts:

  • Sababu za kuanguka kwa ndege ya Brazil zatajwaNdege iliyokuwa imewabeba wachezaji wa timu ya mpira kutoka nchini Brazil ambayo ilipata ajali nchini Colombia inasemekana kwa muujibu wa taarifa zilizovuja ndege hiyo iliishiwa mafuta kutoka katika kifaa cha kurekodia mawasi… Read More
  • Ethiopia yazindua reli mpya ya kisasa Ethiopia na Djibouti zimezindua reli ya kisasa ya treni za kutumia nguvu za umeme ambayo inaunganisha mji mkuu wa Addis Ababa na mji wa bandarini wa Djibouti. Reli hiyo imejengwa na kampuni mbili za Uchina, kwa gharama ya tak… Read More
  • Mti mrefu zaidi Afrika wagunduliwa TanzaniaWanasayansi wanasema kuwa wamegundua kile wanaamini kuwa ni mti mrefu zaidi barani Afrika. Mti huo uko bonde moja lililo Kaskazini Mashariki mwa Tanzania. Wanasayansi kutoka chuo cha Bayreuth nchini Ujerumani, wanasema wanaam… Read More
  • Are you Alone.....Depressed,addicted, stressed cheated, experiemcing conflict or temptation considering suicide, curious. NEEDING: Hope, peace, joy, comfort, purpose, forgiveness, God? Visit on kenny46.blogspot.com … Read More
  • WHEN CONFLICT GETS OUT OF HAND Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE … Read More