Recent Posts

PropellerAds

Tuesday, June 21, 2016

Tanzania kutengeza ndege aina ya helikopta

Raia nchini Tanzania wameamkia habari za kushangaza kwamba taifa hilo linatengeza ndege .Gazeti la Tanzania la Daily News limeripoti kwamba ndege hiyo aina ya helikopta inakaribia kukamilika na kwamba habari hiyo imekuwa ikisambaa barani Afrika kwa kasi .
Gazeti la Zambia,Observer linasema kuwa lengo la ndege hiyo itayokuwa ikibeba watu kwa bei rahisi itakabiliana na matatizo ya uchukuzi nchini humo.
Huku gazeti la Cameron, Concord likisema kuwa mradi huo ni wa kihistoria linaongezea kuwa lengo lake ni kutengeza ndege 20 kwa mwaka.
Ndege hiyo yenye uwezo wa kubeba watu wawili inakaribia kukamilika katika chuo cha ufundi cha Teknolojia cha Arusha na itaanza kufanyiwa majaribio ya kuruka angani baada ya kuruhusiwa na mamlaka ya uchukuzi wa angani nchini Tanzania kulingana na Daily News.

Related Posts:

  • Where Is God in the Midst of All My Troubles? By J. Budziszewski Trouble suffocates me. Worry entangles me. By night I can't sleep, by day I can't rest. The burden of suffering is intolerable. Where is God? Does He know, or are my prayers heard only by the wall? Is … Read More
  • I Learned to Read the Bible Through Tears Article by  Vaneetha Rendall Risner Regular Contributor I can scarcely read the story of Rachel and Leah without crying. Years ago, someone referred to me as a “Leah” — unloved, yet noble. “God blessed and honor… Read More
  • Discovering Your God-Given Purpose By Shana Schutte There once was a man who netted three trout from a mountain stream and carefully placed them side-by-side on a thick patch of grass. Before he removed them from the water, they were like a liquid ballet i… Read More
  • Where Does God Want Me to Work? How do I find God’s will for my life? It’s always a pressing question on the college campus, and especially in our day of unprecedented options. Like never before, in an anomaly in world history, students loosened fro… Read More
  • What Kind of Heart Does Christ Deserve? “In the beginning was the Word, and the Word was with God, and the Word was God.” (John 1:1). “And the Word became flesh and dwelt among us, and we have seen his glory, glory as of the only Son from the Father, full of gra… Read More