Recent Posts

PropellerAds

Wednesday, June 15, 2016

Panya kutumiwa katika maandamano Kenya

Waandamanaji wanapanga kutumia panya 200 katika maandamano katika mji wa Nyeri mkoa wa kati nchini Kenya kulingana na gazeti la the Star nchini humo.
Gazeti hilo limemnukuu mshirikishi wa maandamano hayo John Wamagata akisema ''tutaleta panya 200 na kuwatembeza katikati ya mji''.
Gazeti hilo linaongezea kwamba maandamano hayo yanayopangwa kufanyika wiki ijayo yanapinga mapendekezo ya bunge la kaunti hiyo kutumia shilingi milioni 75 kujenga klabu ya kuimarisha afya.
Klabu hiyo itakuwa na eneo la kunyosha misuli,eneo la kuoga kwa kutumia mvuke,eneo la masaji,kidimbwi cha kuogelea na sauna kulingana na gazeti la the star.

Related Posts:

  • How to Stop Worrying About What Other People ThinkDo you feel overwhelmed by other people’s judgment? Like you’re always the one who gets blamed for everyone’s mistakes? Like everyone expects you to anticipate their every little need and resents you when you can’t live up… Read More
  • This Advent Pray for Jesus to Come QuicklyThe year has been dark. As I write this, the headlines announce that someone has driven a truck into a group of pedestrians, killing eight people. Hurricanes, fires, war, refugees, political turmoil—a succession of loss. … Read More
  • Ask God to Rebuild What Is Broken The last year has been one of the most confusing, troubling, and heartbreaking for many Christians in America, especially for younger believers. It has felt at times like every new day has brought its own dark wave of re… Read More
  • Watch Where You Walk in 2018 The Christian life is not a sprint. It is a journey of ten million steps. Day after day, and year after year, we put one foot in front of the other as we flee the wreckage of our sin and follow Jesus on the path of life… Read More
  • Taste the Goodness of GodLike newborn babies — so he’s picking up on “You just got born.” So 1 Peter 2:2–3, Like newborn babies, desire the pure milk — meaning the word, not distinguishing it from meat at all. That’s not what’s going on here. This… Read More