Recent Posts

PropellerAds

Saturday, June 4, 2016

UM kupeleka misaada zaidi nchini Syria


Maafisa wa kibalozi jijini New York wanasema kuwa hiyo kesho Umoja wa Mataifa utaomba rasmi Serikali ya Syria kuruhusu kudondosha vyakula na madawa katika maeneo wanakoishi wananchi walio katika hatari ya kufa kutokana na ukosefu wa chakula.
Lakini mwandishi wa BBC katika Umoja wa Mataifa anasema kuwa dalili za awali kutoka kwa Serikali ya Syria ni kuwa huenda idhini hiyo isitolewe.
Kati ya maeneo 17 yanayokabiliwa na vita Serikali ya Rais Bashar Al Assad imetoa idhini kwa maeneo 12 pekee na idhini nusu kwa maeneo matatu.
Uingereza ilisema idhini hiyo imetolewa kama imechelewa na kwa kiasi kidogo mno. Ufaransa ilitaja hatua hiyo kama tone kwenye Bahari.

Related Posts:

  • Why We Overthink?When we talk about overthinking, we're talking about a couple of different things. On one hand, overthinking is when you get caught in those loops where you're just thinking about one single event over and over. You might … Read More
  • How to Lose Your Leadership Success, Overnight Can you really become an overnight success? No. Let’s be real. Actual “success” is the sum of all kinds of effort and energy over periods measured in years, not nights. Can you lose your success overnight? Yep.… Read More
  • Waafrika wanauzwa Libya katika biashara ya utumwaRaia wa Afrika wanaojaribu kuvuka na kuelekea barani Ulaya, wanauzwa na watekaji wao na kuuzwa katika "soko la utumwa" nchini Libya. Hayo yamesemwa na shirika la kuwahudumia wahamiaji duniani International Organization for Mi… Read More
  • Mwanamke ambaka dereva wa teksi MarekanMwanamke mmoja katika jimbo la Ohio nchini Marekani ameshtakiwa kwa kum'baka dereva mmoja wa teksi kwa kutumia kisu kabla ya yeye na mwanamume mwengine kumuibia kulingana na maafisa wa polisi. Brittany Carter mwenye umri wa m… Read More
  • Why is Freemasonry Wrong? . . .Months later my wife was ministering deliverance to a young lady who told my wife she felt like she had curses on her from her father. She said "he was … Read More