Recent Posts

PropellerAds

Saturday, June 11, 2016

Al-Shabab ladai kuwaua wapelelezi wa Kenya na US

kundi la wanamgambo nchini Somalia, al-Shabab, wanasema wamewaua watu watatu kwa kuwapiga risasi na kumchinja shingo mwingine, baada ya kupatikana na hatia ya kuwa majasusi wa mashirika ya ujasusi ya Kenya na Marekani.
Mauaji hayo yalitekelezwa mbele ya umati wa watu katika mkoa wa Bakool.

Kulingana na taarifa ya radio ya al-Shabaab, mwanamume mmoja aliyeuawa ni Mohamed Aden Nur, ambaye anashutumiwa kuwa aliwasaidia Wamarekani kumuua kiongozi wa kundi hilo Ahmed Godane.
Mwingine aliyepigwa risasi anadaiwa kuwa alisaidia Wamarekani kumuua Adnan Garaar, anayeaminika kuongoza shambulio la kigaidi katika duka la Westgate nchini Kenya mwaka wa 2013

Related Posts:

  • How to Be HappyDr. Happiness Speaks A few weeks back, I went to see a talk by Harvard lecturer Tal Ben-Shahar. The topic: How to be happy. Dr. Ben-Shahar helped kick off the recent happiness-mania that seems to have infiltrated the America… Read More
  • Forcing the Will to Believe By Richard Pimentel "Should a civilised, tolerant society get into so personal a matter as the religious conviction of its citizens? After all, what is so perverse about conversion? If you exercise your fundamental… Read More
  • Beautiful, Isn't It? by Richard Pimentel No doubt, Monty Python’s Monty Python and the Holy Grail is one of the funniest movies of all time. The entire cast of Monty Python is certainly one of the funniest comedy casts ever assembled. Who can… Read More
  • Never Argue about Religion by Rick Pimentel The Table Talk series focuses on everyday issues that we discuss with one another and have philosophical significance. The previous Table Talk articles dealt with common sense and minding our own busine… Read More
  • what is truthTruth, like knowledge, is surprisingly difficult to define. We seem to rely on it almost every moment of every day and it's very "close" to us. Yet it's difficult to define because as soon as you think you have it pinned d… Read More