Recent Posts

PropellerAds

Saturday, June 25, 2016

Sudan Kusini kutosheherekea uhuru wake


Serikali ya Sudan Kusini imesema kuwa haitasherehekea uhuru wake mwaka huu kutokana na uhaba wa fedha.
Waziri wa habari Michael Makuel Lueth amesema kuwa maadhimisho ya tano ya uhuru wa taifa hilo yatafanyika kwa ukimya.
Serikali pia inasema haitanunua magari ya kifahari kwa mawaziri wapya.
Tangu taifa hilo lijinyakulie uhuru wake kutoka kwa Sudan,limekubwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe na mgogoro wa kiuchumi.
Sarafu yake imashuka na wafanyikazi wa serikali hawawezi kutosheka na mishahara yao ambayo hulipwa kuchelewa.

Related Posts:

  • The Great Invitation: Come! Drink! Eat! Live! The Lord is moving among us at Bethlehem to stir up a heart for people without Christ. For many of us, new ventures in evangelism are in the offing. New power and new boldness are coming to many. As I returned from vacati… Read More
  • What God Says to Your Tears For centuries, Christians have called this world a “valley of tears.” Yes, Christ has come. Yes, he is risen. And yes, he will come again. But still we mourn and ache and weep — and walk alongside those who mourn and ache… Read More
  • Water, Milk, and Wine Three Promises for the Thirsty “Come, everyone who thirsts,come to the waters;     and he who has no money,come, buy and eat!     Come, buy wine and milkwithout money and without price.” (Isaiah 55:1… Read More
  • Live from Satisfaction in Jesus Philippians 2:3–4 In this lab, Pastor John reminds us that only those who have their needs met in Christ can consistently meet the needs of others. Some questions to ask as you read and study Philippians 2:3–4: Would you characterize y… Read More
  • Choosing the Path of Holiness Asking Christ into our lives is the single most important thing we can ever do. But what happens after that? Does it matter how we live our lives if we already have the assurance that we will be with Christ in heaven when we… Read More