Recent Posts

PropellerAds

Monday, June 27, 2016

Israeli na Uturuki kurejesha uhusiano

Israel na Uturuki wanatarajiwa leo kutia sahihi
mapatano yanayonuia kumaliza uhasama kati ya
mataifa hayo mawili.
Uhusiano wa karibu baina ya mataifa hayo uliharibika
miaka sita iliyopita wakati wanamaji wa Israeli
waliposhambulia meli ya Wanaharakati wa Uturuki
waliokuwa wakipeleka msaada wa vyakula na madawa
huko Palestina kwenye ukingo wa Gaza na kuwaua 10
kati yao.
Maafisa kutoka mataifa hayo mawili wanasema kuwa
mapatano yameafikiwa kumaliza uhasama huo.
Uhusiano umeimarika tangu Waziri Mkuu wa Israil,
Benjamin Netanyahu na mwenzake wa Uturuki Recep
Tayyip kuwasiliana kwa simu mwaka wa 2013, kabla ya
mashauriano kuanza na yameimarika kwa miezi
michache iliyopita.
Miongoni mwa hatua za kwanza itakuwa kuwarudisha
mabalozi wa mataifa hayo waliorejeshwa nyumbani
baada ya meli ya wakereketwa wa Uturuki waliokuwa
wakisafirisha chakula kuwapelekea Wapalestina
kushambuliwa na Israel.
Aidha baadhi ya mapendekezo ni Israeli kuomba
msamaha kwa uturuki na kisha kufidia wanaharakati
waliouawa.

Related Posts:

  • Invitations Wrapped in Obligations Do you believe that God should be desired?1 I cannot imagine a Christian who would say God should not be desired. But what if I modified the question slightly? Do you believe that God’s commands should be de… Read More
  • I Learned to Read the Bible Through Tears I can scarcely read the story of Rachel and Leah without crying. Years ago, someone referred to me as a “Leah” — unloved, yet noble. “God blessed and honored Leah.” It was meant to make me feel better. It didn’t. Leah was… Read More
  • What Should She Be? You might be surprised to know that your pastor’s wife is much like you. She is not a celebrity or a super-Christian, but like you, she desires to be a faithful follower of the Lord Jesus Christ. That means her God-given p… Read More
  • Workers for Your Joy If joy is so prominent and central in Philippians, what’s the relationship between joy and faith, between joy and belief in the gospel? Because I think most interpreters of this book would arrive at Philippians 1:27&n… Read More
  • The Price and the Prize of the Gospel Our mindset is exactly the opposite. We’re suspicious of being different from the historic teachings of the church. The last thing we want to preach is new doctrines exclusive to us. When we say “trademarks,” we mean truth… Read More