Serikali imekuwa mstaari wa mbele ikijaribu kupeleleza hatma ya watoto waliohamishwa nje ya nchi na inasema ugumu ulioko ndiyo sababu kuu iliyosababisha ikachukua hatua hii.
Marufuku hii haswa inalenga hatua ya kuwahamisha watoto nje ya DRC kulingana na redio Okapi.wapenzi wa jinsia moja
Tangu mwaka wa wa 2013 DRC imekuwa ikipinga kuhamishwa nje ya nchi kwa watoto walioasiliwa nchini humo.