Recent Posts

PropellerAds

Monday, June 13, 2016

Uzito mkubwa hatari kwa utapia mlo

Utafiti mpya umeonya juu ya ongezeko la uzito mkubwa wa watu duniani ambao unaweza kusababisa kusambaa kwa kasi kwa utapia mlo.
Kwa kawaida,utapiamlo unaweza kuhusishwa na njaa. Lakini katika ripoti hii ya utapiamlo kimataifa ya mwaka huu, inaonesha kuwa watu walio na uzito mkubwa umeathiri mamilioni ya watu pia na kusababisha utapia mlo.
Watu hao utafiti umebaini kuwa wanatumia sukari kwa kiwango kikubwa,chumvi au mafuta katika damu zao na hawapati lishe bora.
Ripoti hiyo imeonya pia juu ya suala la afya kwa ujumla na maendeleo,na kutaka rasilimali zaidi kuwekezwa ili kuweza kukabiliana na tatizo hilo ambalo linaweza kuleta athari kwa muda mrefu.

Related Posts:

  • Vardy mchezaji bora wa mwaka Uingereza Mshambuliaji wa Leicester Jamie Vardy ametawazwa mchezaji soka bora wa mwaka na chama cha waandishi wa kandanda Uingereza. Mshambuliaji huyo wa Uingereza alipata 36% ya kura zilizopigwa na wanahabari 290 na kuwashinda we… Read More
  • Miili ya waliotoweka miaka 16 iliyopita yapatikana Miili ya wakwea milima wawili kutoka Marekani waliotoweka katika milima ya Himalaya miaka 16 iliyopita imepatikana. Mkwea milima maarufu duniani Alex Lowe alikuwa akikwea katika kilele cha Shishapangma chenye urefu wa 8,0… Read More
  • Vardy mchezaji bora wa mwaka Uingereza Mshambuliaji wa Leicester Jamie Vardy ametawazwa mchezaji soka bora wa mwaka na chama cha waandishi wa kandanda Uingereza. Mshambuliaji huyo wa Uingereza alipata 36% ya kura zilizopigwa na wanahabari 290 na kuwashinda we… Read More
  • Waziri mkuu wa Ufaransa kusimamia kandarasi ya manowariWaziri mkuu wa Ufaransa Manuel Valls amesema kuwa atasimamia mwenyewe kandarasi kubwa iliyoshindwa na kampuni ya Ufaransa ya DCNS ya kujenda manowari ya jeshi la wanamaji wa Australia. Bw Valls alikuwa akiongea kwenye mkut… Read More
  • Wanajeshi wa Uingereza wawasili Somalia Kikosi kidogo cha jeshi la Uingereza kimewasili nchini Somalia kusaidia wanajeshi wa muungano wa Afrika walioko huko. Karibu wanajeshi 10 wa uingereza watafutiwa na kikosi kingine cha wanajeshi 70. Watasaidia kutoa huduma za… Read More