Recent Posts

PropellerAds

Wednesday, June 22, 2016

Mji wa Hong Kong ndio ghali zaidi duniani


Mji wa Hong Kong ndio mji ghali zaidi duniani baada ya kuupiku mji wa Luanda, Angola kulingana na wafanyakazi wa kimataifa katika utafiti wa kila mwaka unaofanywa na shirika la Mercer.
Luanda ambao ulikuwa unaongoza orodha hiyo katika siku za hivi karibuni ulishuka kufuatia kudhoofika kwa sarufi yake.

Mji wa Zurich na Singapore ni ya tatu na nne mtawalia katika orodha hiyo ikiwa haijabadilika kwa mwaka mmoja sasa.
Mji wa Tokyo sasa umepanda hadi nafasi ya tano.
Utafiti huo unalenga kampuni zinazotakiwa kuhesabu marupurupu ya wafanyikazi wa kimataifa.
Umepima gharama ya kuishi kwa takriban mataifa 209 duniani,ikilinganisha gharama ya viti 200 katika kila eneo ikiwemo,bei ya nyumba ya kuishi,uchukuzi,chakula na burudani.

Related Posts:

  • Kenya: Majirani zetu walitusaliti AUWaziri wa maswala ya nchi za kigeni Kenya Amina Mohammed Mgombea wa wadhfa wa mwenyekiti kutoka Kenya katika tume ya Umoja wa Afrika AU Amina Mohammed ametaja usaliti mio… Read More
  • Israel yaishtumu Iran kwa kujaribu kombora lake Israel imeishtumu Iran kwa kukiuka maamuzi ya baraza la usalama la Umoja wa Mataifa kwa kufanyia majaribio kombora lake la masafa ya kadri Waziri mkuu nchini humo Benjamin Netanyahu amesema kuwa jaribio hilo la kombora l… Read More
  • Trump amteua jaji wa mahakama kuu Neil Gorsuch Rais Donald Trump amemteua Neil Gorsuch kujaza nafasi katika mahakama kuu kwa mwaka mmoja . Bw Gorsuch mwenye umri wa miaka 49 ni jaji katika mahakama ya rufaa mjini Denver. Jaji huyo hatarajiwi kutoa hukumu juu ya utoaji m… Read More
  • Mama atakiwa ''kuthibitisha anatoa maziwa'' uwanja wa ndege Mwanamke mmoja amewasilisha malalamishi yake kwa maafisa wa polisi wa Ujerumani akidai kuwa aliambiwa atoe maziwa katika eneo la usalama la uwanja wa ndege ili kuthibitisha kuwa ananyonysha mtoto. Gayathiri Bose aliambi… Read More
  • AU kujiondoa katika mahakama ya ICC Umoja wa Afrika umeunga mkono mpango wa kujiondoa kwa pamoja katika mahakama ya ICC ambayo mataifa mengi ya Afrika yanahisi inawalenga viongozi wa bara la Afrika pekee. Uamuzi huo uliochukuliwa katika kikao cha faragha ha… Read More