Recent Posts

PropellerAds

Saturday, June 4, 2016

Bondia Muhammad Ali alazwa hospitalini

Bingwa wa dunia wa uzani wa juu wa zamani Muhammad Ali amelazwa hospitalini kufuatia maambikizi ya mapafu.
Bondia huyo nyota mwenye umri wa miaka 74 aliyekonga nyoyo za wapenzi wa ndondi kote duniani anasemekana kuwa katika hali wastani alipolazwa hospitalini.
Hata hivyo familia yake ilipendekeza alazwe hospitali kama tahadhari kwa sababu mbali na maambukizi hayo Ali anaugua kiharusi.
Bondia huyo alipatikana na ugonjwa wa Parkinson mwaka wa 1984 baada ya kustaafu ndondi za kulipwa .
Mara ya mwisho bondia huyo mkongwe alipolazwa hospitalini ilikuwa ni Januari mwaka uliopita alipokuwa amepata maambukizi ya njia ya mkojo.
Msemaji wa familia yake hata hivyo hakuwaambia wanahabari alikolazwa wala alilazwa lini.

Related Posts:

  • Helping Missionaries Helping Missionaries Philippians 4:16-18 ESV / 38 helpful votes Even in Thessalonica you sent me help for my needs once and again. Not that I seek the gift, but I seek the fruit that increases to your credit. I h… Read More
  • Let Marriage Be Held in Honor Let brotherly love continue. Do not neglect to show hospitality to strangers, for thereby some have entertained angels unawares. Remember those who are in prison, as though in prison with them, and those who are mistreated,… Read More
  • Even the Bad, for Your Good And we know that God causes all things to work together for good to those who love God, to those who are called according to his purpose. For those whom he foreknew, he also predestined to become conformed to the image of… Read More
  • Difficulty brings blessingWhy does God allow trouble to plague his people? How can it be considered loving for him to permit trials to run wild in our lives? I gained fresh insight into these questions while watching a spellbinding four-minute video c… Read More
  • How Do I Overcome My Fear of Death? Active God I’m picking up from our friend’s wording that her view of God and his sovereignty over our lives, including when and how we die, may not be as biblical and as solid and as freeing as God means it to be. “You… Read More