Recent Posts

PropellerAds

Friday, June 24, 2016

Mwana wa aliyekuwa rais wa Senegal asamehewa


Rais wa Senegal Macky Sall, ametoa ilani ya kumsamehe waziri wa zamani nchini humo, Karim Wade kwa makosa ya ufisadi.
Karim Wade, mpinzani mkubwa wa Rais Sall na mwanawe aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Abdoulaye Wade, hapo mwaka jana alihukumiwa jela kifungo cha miaka sita.
Kwa mjibu wa amri hiyo iliyotiwa saini mapema leo Ijumaa, Karim Wade na washtakiwa wengine wawili sasa wako huru, lakini ni sharti alipe fedha zinazodaiwa ziliibwa katika kashfa kubwa ya ufisadi.
Kuna taarifa kuwa Bwana Wade tayari ameondoka Senegal, kuelekea Ufaransa au Qatar.

Related Posts:

  • Called from Death to Life Called from Death to Life First, there is a kind of calling that God speaks when we are dead in sins — that calling which brings us out of deadness into life in union with Christ. This is the calling Paul comments on wh… Read More
  • Let Marriage Be Held in Honor Let brotherly love continue. Do not neglect to show hospitality to strangers, for thereby some have entertained angels unawares. Remember those who are in prison, as though in prison with them, and those who are mistreated,… Read More
  • How Do I Overcome My Fear of Death? Active God I’m picking up from our friend’s wording that her view of God and his sovereignty over our lives, including when and how we die, may not be as biblical and as solid and as freeing as God means it to be. “You… Read More
  • Helping Missionaries Helping Missionaries Philippians 4:16-18 ESV / 38 helpful votes Even in Thessalonica you sent me help for my needs once and again. Not that I seek the gift, but I seek the fruit that increases to your credit. I h… Read More
  • Life And Death Deuteronomy 30:15Jeremiah 21:8 Verse Concepts "You shall also say to this people, 'Thus says the LORD, "Behold, I set before you the way of life and the way of death. Verse Concepts "See, I have … Read More