Obama aongezea vikwazo Korea kaskazinRais wa Marekani Barack Obama ameidhinisha vikwazo
vipya dhidi ya Korea Kaskazini baada ya taifa hilo
kufanyia majaribio silaha za nyuklia na makombora hivi
majuzi.
Msemaji wa ikulu ya White House amesema Marekani
na jamii ya…Read More
Mwanafunzi aliyemtishia Trump kuondoka MarekaniMwanafunzi wa urubani kutoka Misri aliyeandika kwenye
Facebook kwamba ulimwengu unaweza kumshukuru sana
akimuua Donald Trump ameamua kuondoka Marekani kwa
hiari.
Emadeldin Elsayed, 23, hakufunguliwa mashtaka yoyote
ya uhalifu…Read More
Islamic State wametekeleza ‘mauaji ya halaiki’arekani imesema kundi la wapiganaji wa Kiislamu
linalojiita Islamic State (IS) limetekeleza mauaji ya
halaiki dhidi ya Wayazidi, Wakristo na waislamu wa
madhehebu ya Shia.
Waziri wa mashauri ya kigeni wa Marekani John Kerry
a…Read More
Korea Kaskazini yatishia kuishambulia MarekaniKorea Kaskazini imetishia kutekeleza mashambulio ya
nyuklia dhidi ya Korea Kusini na Marekani iwapo nchi
hizo mbili zitaendelea na mazoezi ya pamoja ya kijeshi.
Mazoezi hayo, ambayo hufanyika kila mwaka, mwaka
huu yatashiriki…Read More
AU kutuma waangalizi wa uchaguzi ZanzibarTume ya Umoja wa Afrika imetangaza kwamba
itawatuma waangalizi wa uchaguzi wa marudio visiwani
Zanzibar ambao utafanyika Jumapili.
Mwenyekiti wa tume hiyo Dkt Nkosazana Dlamini Zuma
ameidhinishwa kutumwa kwa wataalamu sita wa…Read More
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
Do Everything Without Grumbling
-
[image: Image result for Do Everything Without Grumbling]“Do all things
without grumbling” (Philippians 2:14). It’s remarkably easy to breeze by
this comm...