Recent Posts

PropellerAds

Saturday, June 4, 2016

Waliokuwa maafisa wa Fifa walijipatia $80m


Mawakili wa FIFA wasema washukiwa wakuu wa madai ya ufisadi ambao hadi hivi majuzi walikuwa wakiliongoza shirikisho hilo la kandanda duniani walijilimbikizia nyongeza za mishahara na marupurupu mengineyo ambayo yamejumuishwa na kufika dola millioni 80.
FIFA imeelezea kuwa malipo hayo yaliodhinishwa katika kipindi cha miaka mitano na kupewa miongoni mwao Sepp Blatter, Jerome Valcke na Markus Kattner si halali kwa mujibu wa sheria za Uswizi.
Ushahidi unaokusanywa utakabidhiwa waendesha mashtaka wa Marekani na Uswizi
FIFA imeyafichua hayo baada ya polisi wa Uswizi kufanya uvamizi katika ofisi zilizoko makao makuu ya Zurich nchini Uswizi.
Tayari akina Blatter na Valcke wameshafunguliwa mashtaka mengine ya matumizi mabaya ya fedha za FIFA madai wanayokana.

Related Posts:

  • In Christ Alone A strange thing happened when word first spread that I had stage III breast cancer: I began receiving all things pink. Pink quilts, teddy bears, and t-shirts covered with breast-cancer symbols. Even letters written with pi… Read More
  • Joy and Obedience Joy and Obedience I’m going to say things a little differently than Jonathan, but first let me affirm his insight. When we are living in disobedience to Christ, our joy in him will be minimal or nonexistent, depending o… Read More
  • Don’t Grow Weary Doing Good Those who genuinely “do good” will be tempted soon enough to grow weary. Give yourself to doing good for others — on God’s terms, to fulfill his calling — and it’s just a matter of time before you will be tempted to tire. … Read More
  • No One Is Too Lost My teenage daughter and I burst into tears in worship last weekend. One of our pastors was preaching about the cross. Ellie and I were overcome with emotion as he described Christ absorbing our sin and enduring the wrath of … Read More
  • “Trust Me or I Will Hurt You” How is the gospel invitation different from “Trust me or I will hurt you”? If you don’t believe that hell is real, then this is not a serious question for you. If you believe hell is real, but don’t believe God ever sends… Read More