Recent Posts

PropellerAds

Thursday, June 23, 2016

Baba ajiweka tatoo kufanana na mwanawe aliyefanyiwa upasuaji

Baba wa miaka 28 nchini Marekani amenyoa kichwa chake na kuweka mchoro wa tatoo unaofanana na kovu la kichwa cha mwanawe aliyefanyiwa upasuaji.
Josh Marshall,ambaye anatoka Kansas aliingia katika shindano la kila mwaka linaloendeshwa na shirika la hisani kuhusu saratani ya watoto na kushinda taji la #BestbaldDad{baba mwenye kipara kizuri} wikendi iliopita.
Akikiri aliandika: Mimi na mwanangu katika hafla ya St. Baldtricks huko Wichita Kansas.
Niliwekwa tatoo ya kovu la mwanangu ili kuimarisha motisha yake.
Shindano hilo huwashirkisha watu wa familia na marafiki wa mtoto aliye na saratani.

Mwanawe alipatikana na uvimbe katika ubongo mnamo mwezi Machi.
''Mwanangu alikuwa na wasiwasi mwingi baada ya kufanyiwa upasuaji,alijihisi kama hayawani'',alisema Josh Marshal.

Related Posts:

  • Maafikiano ya kusitisha vita Syria Marekani inasema kuwa makubaliano yameafikiwa na Urusi ya kuongeza muda wa usitishwaji mapigano nchini Syria ikiwemo kwenye mji unaokumbwa na mapigano wa Aleppo. Waziri wa mashauri ya nchi za kigeni wa Marekani John Kerr… Read More
  • Chama tawala Uturuki kuchagua kiongoziRipoti kutoka nchini Uturuki zinasema kuwa chama tawala cha PKK kitakutana baadaye mwezi huu kumchagua kiongozi mpya kufuatia wiki kadha za tofauti kati ya viongozi wawili wakuu wa chama hicho. Mkuu wa chama waziri mkuu Ahm… Read More
  • Katumbi atangaza atawania urais DR Congo Mwanasiasa maarufu nchini Jamhuri ya Demokrasi ya Kongo Moise Katumbi amethibitisha kuwa atagombea urais kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Novemba. Mfanyibiashara huyo na gavana wa zamani wa jimbo la Katan… Read More
  • Hali ya hatari yatangazwa CanadaGavana wa jimbo la Alberta nchini Canada ametangaza hali ya hatari wakati moto mkubwa wa msituni unapoteketeza maeneo ya mji wa Fort McMurray.Maafisa wanasema kuwa nyumba 1600 na majengo mengine yameharibiwa na moto huo amb… Read More
  • Donald Trump azidi kupetaJohn Kasich amejitoa kwenye kinyanganyiro cha mchujo wa kugombea urais katika chama cha Republican na kumuacha Donald Trump kama mgombea wa pekee. Bw Kasich alitoa tangazo hilo kwenye mkutano na waandishi wa habari nyumbani… Read More