Recent Posts

PropellerAds

Monday, June 13, 2016

'Waislamu hawafai kuingia Marekani' -Trump


Mgombea wa kiti cha urais wa chama cha Republican nchini Marekani Donald Trump, amesema mauaji ya watu 50 katika baa moja ya wapenzi wa jinsia moja huko Orlando inathibitisha msimamo wake kwamba waislamu wapigwe marufuku kukanyaga ardhi ya Marekani.
Trump amemkashifu mpinzani wake wa chama cha republican Bi Hillary Clinton, kwa kutodadisi sababu za mtu huyo kutenda mauaji hayo.
 Upande wa Bi Clinton wakitoa risala za pole kwa waathiriwa wa mkasa huo papo hapo wamemtaja Trump kama mtoto anaejitweza ovyo kwa jinsi anavyougeuza mkasa huo wa kitaifa kujipongeza binafsi.
Wakati huo huo Shirika la kijasusi la FBI limesema mtu aliyewaua watu 50 kwa kuwafyatulia risasi katika klabu moja ya wapenzi ya jinsia alikiri kuunga mkono kundi la kigaidi la IS.
Fbi wameongeza kusema kuwa wamekuwa wakimfanyia uchunguzi mtu huyo Omar Mateen tangu 2013 baada ya kutoa matamshi ya chuki akiwa kazini .

Babake Mateen amesema anaamini kitendo alichokifanya wanawe kilitokana na msukumo wa hisia zake dhidi ya wanaondeleza mapenzi ya jinsia moja na wala si kwa sababu za kidini.
Naye mkewe wa zamani Sitora Yusufiy, amemwelezea Mateen kama mtu wa aliyekuwa tabia za kigomvi na kutaka kupiga watu lakini hakuwa na itikadi kali za kidini.

Related Posts:

  • The Dignity of Those with Dementia Right, that’s absolutely right. The God-given dignity of every human being — as created in God’s image and destined for final accountability before the living God, unlike all the other creatures — that dignity is foundat… Read More
  • How to Receive the Gift of the Holy Spirit “This Jesus God raised up, and of that we all are witnesses. Being therefore exalted at the right hand of God, and having received from the Father the promise of the Holy Spirit, he has poured out this which you see and… Read More
  • Those Whom He Justified He Also Glorified We know that in everything God works for good with those who love him, who are called according to his purpose. For those whom he foreknew he also predestined to be conformed to the image of his Son, in order that he mig… Read More
  • Do Men Owe Women a Special Kind of Care? Egalitarianism tends to obscure the deeper differences between manhood and womanhood. This has not served us well in the last fifty years. It has instead confused millions and muted a crucial summons for a distinctly mas… Read More
  • Mungu Hachakuacha Peke Yako Nasi  twajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wampendao katika kuwapa mema, yaani, wale walioitwa kwa kusudi lake. 29 Maana wale aliowajua tangu asili, aliwachagua tangu sili wapatanish… Read More