Recent Posts

PropellerAds

Monday, March 28, 2016

'Al-Shabab 100 wauawa' vitani Somalia

Kiongozi wa jimbo la Galmudug, katikati mwa Somalia
amesema wanajeshi wa jimbo hilo wamewaua zaidi ya
wapiganaji 100 wa al-Shabab kwenye mapigano
yaliyodumu siku nne.
Wapiganaji hao wa Kiislamu walikuwa wameingia jimbo
hilo wakitoroka mapigano mengine kaskazini katika jimbo
la Puntalnd.
Rais wa jimbo hilo Abdikarin Hussen Gulled ameambia
BBC kwamba wapiganaji 100 waliuawa na wengine
wengi kukamatwa.
Habari hizo hazijathibitishwa na taasisi nyingine.
Wapiganaji 30 wa al-Shabab wauawa Puntland
Wapiganaji wa al-Shabab walikuwa wamekabiliana na
wanajeshi wa jimbo la Puntland linalopakana na
Galmudug mapema wiki iliyopita.
Wamekuwa wakihamia maeneo ya kaskazini baada ya
kukabiliwa na wanajeshi wa Somalia wakisaidiwa na
wanajeshi wa nchi za Umoja wa Afrika (Amisom)
maeneo ya kusini na kati mwa Somalia.

Related Posts:

  • Do You Know Why You Were Made? Isaiah 43:6–7  We cannot live meaningful lives if we do not know why we were created. In this lab, Pastor John unfolds a major reason God created human beings. Principle for Bible Reading … Read More
  • Always ‘Be’ Before You ‘Do’ A few months back, I purchased a pair of shoes. Printed on the side of the shoebox was the company’s slogan: Go. Do. Be. Do you see anything wrong with this advice? I hardly gave it a thought at the time. But now I’m giv… Read More
  • Six ways to deal with your stressWhether stress is getting to you due to your job or something more personal, the initial step to resolve this issue is to recognise the cause. To identify the cause, observe what makes you angry, worried, frustrated or irrita… Read More
  • Die to Yourself Without Losing Yourself Self-sacrifice can be exhausting. It can be painful, arduous, and largely thankless. Moreover, no shortage of people stand ready to take advantage of our willingness to serve. Nonetheless, few messages are more consisten… Read More
  • Tajirika na Kilimo cha Nyoka, Kina Pesa Zaidi ya DhahabuKilimo cha nyoka ni moja ya kilimo yenye faida sana ,mmoja anaweza akaanzisha kilimo hichi ukizingatia thamani ya “snake venom” ipo juu sana.Sumu ya nyoka inatumika kwa wingi kwenye viwanda vya famasia na viwanda vya vipod… Read More