Recent Posts

PropellerAds

Monday, March 21, 2016

Waingereza waliopiga picha ndege Kenya mashakani

Raia wanne wa Uingereza waliokuwa wakipiga picha
ndege nchini Kenya wameamrishwa kulipa faini ya pauni
1,400 ama wahudumie kifungo jela kwa kuchukua picha
hizo katika uwanja wa ndege jijini Nairobi kinyume cha
sheria.
Wanne hao kutoka Manchester nchini Uingereza
walipatikana wakichukua picha hizo katika uwanja wa
Wilson jijini Nairobi na wamekuwa wakizuiliwa kwa zaidi
ya juma moja.
Wanaendelea kuzuiliwa na polisi hadi faini hiyo
itakapolipwa.
Watu hao wanasema kuwa maafisa katika uwanja huo
wa ndege waliwapatia ruhusa kufanya hivyo.
Lakini walizua tatizo la kiusalama walipopatikana katika
baa ya uwanja huo wa ndege.
Baadaye walikiri mashtaka mawili ya kuingia na kupiga
picha ndege bila ruhusa shtaka lililo na faini ya pauni
700 kila mmoja wao.

Related Posts:

  • Ask God to Forgive You, Not Excuse You God exists everywhere and everywhen. He is eternal and omnipresent. And not only is he present everywhere, he is everywhere pursuing us. He is the hunter, the king, the husband, approaching us at an infinite speed. Central… Read More
  • Choosing the Path of Holiness Asking Christ into our lives is the single most important thing we can ever do. But what happens after that? Does it matter how we live our lives if we already have the assurance that we will be with Christ in heaven when we… Read More
  • On My Wedding Day The wedding day has finally come. Tomorrow, Lord willing, I will no longer be not-yet-married. In a month or year or five years, people will ask us how marriage is going. We didn’t want to have to settle for how we feel i… Read More
  • Children Need a Crisis of Faith  My wife and I have five children. Our oldest two have exited childhood and are adventuring into the uncharted territory of their young adulthood. Our younger three are navigating the tricky waters of adolescence. A… Read More
  • The Deep Riches and Wisdom and Knowledge of God One of the highest points in my short, six-year teaching career in the Biblical Studies department at Bethel College was in the spring of 1977. I had spent the entire semester on Romans 9–11 leading about a dozen adva… Read More