Recent Posts

PropellerAds

Tuesday, March 22, 2016

Burundi: Mkuu wa jeshi auawa kambini

Afisa mmoja muandamizi wa jeshi la Burundi ameuwawa
leo ndani ya makao makuu ya jeshi la Burundi.
Kanali Darius Ikurakure alikuwa Kamanda wa kambi ya
kijeshi ya Muzinga, nje kidogo ya jiji la Bujumbura.
Kambi ya Muzinda iko kilomita 30 kutoka mji mkuu wa
Bujumbura.
Kanali Ikurakure alikua msatari wa mbele katika
harakati za kuzima maandamano na ghasia zilizotokea
baada ya Rais Pierre Nkurunziza kutangaza kuwania
muhula wa tatu mamlakani.
Duru kutoka kwa jeshi la burundi zinasema kuwa kanali
huyo alipigwa risasi na mwanajeshi mwenza.

Related Posts:

  • What Is the Unforgivable Sin? “Blasphemy against the Spirit will not be forgiven.” It’s one of Jesus’s most enigmatic, controversial, and haunting statements. In the last two millennia, many a tortured soul have wrestled over this warning. Have I c… Read More
  • 10 Bible Verses About Courage  Psalm 56:3-4 When I am afraid, I will trust in you. In God, whose word I praise, in God I trust; I will not be afraid. What can mortal man do to me? + Isaiah 41:10 So do not fear, for I am with you; do … Read More
  • We Reap Only What Has Been Sown part 2 Life is filled with choices, choices that affect us on an everyday basis in everything we do which means our everyday choices are not without significance. Our choices affect us and others in dramatic ways whether we see it … Read More
  • When God Calls You Out Indeed, we felt that we had received the sentence of death. But that was to make us rely not on ourselves but on God who raises the dead.2 Corinthians 1:9 If we don’t sometimes feel like we’re “in over our heads,” it ma… Read More
  • Choose Life Deuteronomy 30:15-20 15 See, I set before you today life and prosperity, death and destruction.16 For I command you today to love the Lord your God, to walk in obedience to him, and t… Read More