Recent Posts

PropellerAds

Thursday, March 31, 2016

Daraja laporomoka na kuwaua 10 India

Takriban watu 10 wameuawa na wengine kadhaa
kujeruhiwa baada ya daraja moja la juu lililokuwa
likijengwa kuporomoka kwenye mji wa mashariki mwa
India wa Kolkata
Ripoti zingine zinasema kuwa karibu watu 150 huenda
wamekwama chini ya vifusi vya daraja hilo lililo eneo
lenye shughuli nyingi.
Miradi ya ujenzi nchini India mara nyingi imekumbwa
na matatizo ya kiusalama na huporomoka mara kwa
mara.
Wataalamu wanasema kuwa, huwa kuna ukosefu wa
ukaguzi wa miradi na matumizi ya vifaa duni katika
ujenzi.

Related Posts:

  • Waimbaji wa Abba wakutana baada ya miaka 30 Wanachama wanne wa bendi ya Abba wameonekana wakiwa pamoja nchini Sweden na kuwashangaza mashabiki kwa kuimba pamoja. Nyota hao walikusanyika siku ya Jumapili katika warsha moja ya kibinafsi, kuadhimisha ushirikiano wa mia… Read More
  • Obama amuidhinisha Clinton kuwania urais Marekani Rais wa Marekani Barack Obama ametangaza kumuunga mkono Hillary Clinton kuwa mgombea urais wa chama cha Democratic katika uchaguzi mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu nchini Marekani. Amechukua hatua hiyo muda mfupi baa… Read More
  • Aliyemdhihaki rais Magufuli ahukumiwa Mtu aliyemdhihaki rais John Pombe Magufuli wa Tanzania amehukumiwa na mahakama ya Tanzania. Kulingana na mtandao wa EATV5, Mtuhumiwa huyo Isack Habakuki alipigwa faini ya shilingi milioni 7 na hakimu mkazi wa Arusha Augus… Read More
  • Wakili aliyepigwa na kupasuliwa nguo mbele ya majaji China Mawakili wengi wa China wamenyanyaswa,kukamatwa na hata kufungwa jela lakini picha ya mmoja wao aliyekuwa na nguo zake zilizovuliwa na maafisa wa polisi imevutia hisia nyingi nchini China. Wu Liangshu alikuwa katika maha… Read More
  • Bill Gates kusaidia watu kufuga kuku Afrika Mwanzilishi wa kampuni ya Microsoft Bill Gates, amezindua kampeni ya kusaidia watu maskini zaidi barani Afrika, kusini mwa jangwa la sahara, kwa kufuga kuku Bilionea huyo Bill Gates anasema kuwa kufuga kuku kunaweza kuwa … Read More