Recent Posts

PropellerAds

Saturday, March 19, 2016

Ndege yaanguka na kuwauwa abiria 62 Urusi

Ndege ya abiria iliyokuwa na watu 62 imeanguka
ilipukuwa ikitua katika mjini ulio kusini mwa Urusi wa
Rostov-on-Don.
Hakukuwa na manusura kati ya abiria 55 na wahudumu
saba waliokuwa ndani ya ndege hiyo.
Ndege hiyo aina ya Boeng 737 iliyokuwa ikitoka Dubai
ilimilikiwa na shirika la Flydubai.
Ndege hiyo ilizunguka kwa karibu masaa mawili kabla
ya kufanya jaribio la pili la kutua kufutia hali mbaya ya
hewa.
Ilianguka mita mia kadha kutoka kwa barabara ya
uwanja ambapo ilivunjika na kushika moto.

Related Posts:

  • God Will Conquer All Your Sins I didn’t know holiness would be so hard-won. As with many new believers, I enjoyed sudden victory over some of the sins that had marked my unbelieving life. I flew on eagles’ wings. I leapt from one degree of glory to ano… Read More
  • How God Comforted Him One of the most precious promises in Scripture is that God “comforts us in all our affliction” (2 Corinthians 1:4). But for years I wondered, what does that mean? How does God comfort us? How do we actually experience this… Read More
  • 5 Truths for Ministering to Those with Mental Illness I’ve always said our greatest ministry comes out of our greatest pain. That’s why Kay and I have focused the last few years on helping churches better engage people with mental illness. Many of you know that our younger s… Read More
  • God Called Me to the Middle East — in a Dream Abu Dhabi is the capital of the United Arab Emirates, located between Saudi Arabia and Oman. The government graciously allows Christians from other countries to establish churches there, and to worship freely. And God has le… Read More
  • BUILDING FAITH ON THE WRONG FOUNDATION? One reason people fall away from the faith is because they have built their faith on the wrong foundation. Sometimes we build our faith on a church. We become very passionate about our church and may even develop a my-chur… Read More