Recent Posts

PropellerAds

Monday, March 28, 2016

Fidel Castro akosoa ziara ya Obama Cuba

Aliyekuwa kiongozi wa muda mrefu wa Cuba Fidel
Castro amevunja kimya chake kuhusu ziara ya hivi
majuzi ya Rais wa Marekani Barack Obama nchini
humo.
Kwenye barua iliyochapishwa katika gazeti la serikali ya
nchi hiyo la Granma kiongozi huyo ameonekana kukosoa
ziara hiyo.
Fidel, aliyemkabidhi kakake Raul uongozi wa taifa hilo
mwongo mmoja uliopita, amesema Cuba haihitaji zawadi
zozote kutoka kwa Marekani.
Akijibu pendekezo la Bw Obama kwamba wakati umefika
wa kuunda urafiki na kuzika kwenye kaburi la sahau
masalio ya Vita Baridi bara Amerika, Fidel Castro
amewakumbusha wasomaji kuhusu uvamizi wa Bay of
Pigs uliofanywa na wakimbizi wa Cuba wakisaidiwa na
Marekani mwaka 1961.
Kwa Picha: Ziara ya Obama Cuba
Obama amtaka Castro asiiogope Marekani
Obama na Castro wajibizana Cuba
Amesema maneno ya Obama ya kuhimiza maridhiano ni
sawa na “rojo ya sukari” na kuonya kwamba raia wa
Cuba wanaweza kupata “mshtuko wa moyo”.
Fidel Castro, 89, aliongoza Cuba kuanzia 1959 hadi
2008 alipomkabidhi nduguye madaraka.

Related Posts:

  • His Light Shines in the Darkness What does the phrase “light of the world” mean? John 8:12: “Jesus spoke to them, saying, ‘I am the light of the world.’” What does “of the world” mean? The whole world is not being lightened while Jesus is there, or today.… Read More
  • What Is the ‘Sin Not Leading to Death’ in 1 John 5?  What is the sin that does not lead to death, in 1 John 5:16–17? Can you explain this?” Well, let me venture an answer in summary form and then drop back and give the foundations for it from the context of 1 John an… Read More
  • How to Gossip Better Do you ever wonder how people talk about you behind your back? Maybe you get the itch when you see people talking quietly close by: Was it something I did? The mind has its mysterious ways of wandering and wondering. Wa… Read More
  • I Am the Light of the World Again Jesus spoke to them, saying, “I am the light of the world. Whoever follows me will not walk in darkness, but will have the light of life.” So the Pharisees said to him, “You are bearing witness about yourself; you… Read More
  • We Are Accountable for What We Know  With the Unfaithful “Peter said, ‘Lord, are you telling this parable for us or for all?’” (Luke 12:41). Jesus had just told them a parable. “And the Lord said, ‘Who then is the faithful and wise manager, whom his mas… Read More