Recent Posts

PropellerAds

Thursday, March 31, 2016

Chama chatisha kumuondoa Zuma madarakani

Chama cha Democtratic Alliance nchini Afrika Kusini
kumeanzisha kampeni ya kumuondoa rais Jacob Zuma
madarakani baada ya mahakama ya kikatiba kutoa
uamuzi kuwa alikiuka katiba.
Mahakama ilipata kuwa bwana Zuma alikataa kutii agizo
kutoka kwa ofisi ya mwendesha mashtaka mkuu mwaka
2014 la kamtaka alipe pesa zilizotumika kuifanyia
ukarabati nyumba yake ya kibinafsi.
Vyama viwili vya upinzani viliwasilisha kesi hiyo
mahakamani ili kumlazimu rais Jacob Zuma kuzingatia
matokeo ya uchunguzi yaliofanywa na mkaguzi wa hesabu
za serikali, kwamba alihusika na mabadiliko yaliofanyiwa
nyumba yake ya Nkandla.
Mamilioni ya madola yalitumika katika kile kilitajwa na
serikali kuwa uimarishaji wa usalama. Marekebisho hayo
yalishirikisha ukumbi,kidimbwi cha kuogelea na zizi la
ngombe

Related Posts:

  • Real Marriage Real Marriage One, it is not a wedding, because it is not a marriage. Therefore, attending it as a wedding is to be false like everyone there is being false. There is no such thing as a so-called same-sex marriage. God … Read More
  • 10 Things “Yahweh” Means God also said to Moses, “Say this to the people of Israel: ‘The LORD, the God of your fathers, the God of Abraham, the God of Isaac, and the God of Jacob, has sent me to you.’ This is my name forever, and thus I am to be … Read More
  • If God Is with Me, Why Did This Happen? “If the Lord is with us, why then has all this happened to us?” (Judges 6:13). Gideon asked the question thousands of years ago, and we have been asking it ever since. Haven’t we all asked that question secretly, if not o… Read More
  • Are You Locked Out of God’s House? Here’s the question this raises for me: Is my home in heaven in disrepair, needing some work? Does this mean that sweet fellowship with God is somehow defective and would need to be worked on? Can Jesus say in Matthew… Read More
  • Good Parenting Begins with Knowing God Godly parenting requires far more than tips and techniques. It begins with knowing God. It’s not merely a matter of external effort and method, but involves reflecting our heavenly Father to our earthly children through ou… Read More