Kundi la watoa misaada 10 kutoka nchi za magharibi
wametangaza kusitisha ufadhili wao kwa bajeti ya
serikali ya Tanzania.
Hii inafuatia uamuzi wa shirika la utoaji misaada la
serikali ya marekani kuondoa msaada wa dola 472 wa
kufadhili miradi ya maendeleo kutokana na jinsi uchaguzi
wa kisiwa cha Zanzibar ulivyoendeshwa.
Karibu theluthi moja ya bajeti ya Tanzania ilitegemea
msaada mwaka uliopita, kwa hivyo hatua hizo za hivi
punde ni pigo kwa mipango ya maendeleo ya serikali
mpya.
Wanafunzi Kapeta,Kiwira warithishwa ari ya utunzaji mazingira
-
Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), kwa kushirikiana na Shirika la
Utangazaji la Tanzania (TBC), wameendesha zoezi la upandaji miti katika
Shule ya msi...
9 hours ago