Recent Posts

PropellerAds

Wednesday, March 16, 2016

Obama aongezea vikwazo Korea kaskazin

Rais wa Marekani Barack Obama ameidhinisha vikwazo
vipya dhidi ya Korea Kaskazini baada ya taifa hilo
kufanyia majaribio silaha za nyuklia na makombora hivi
majuzi.
Msemaji wa ikulu ya White House amesema Marekani
na jamii ya kimataifa hawatavumilia “shughuli haramu
za nyuklia” zinazotekelezwa na Korea Kaskazini.
Awali, ikulu ya White House iliishutumu Korea Kaskazini
ikisema inawatumia raia wa Marekani kama rahani
katika juhudi za kuendeleza ajenda yake ya kisiasa.
Korea Kaskazini yaamrisha majaribo zaidi ya
mabomu
Korea Kaskazini yajibu vikwazo vya UN
Hii ni baada ya Korea Kaskazini kumhukumu mwanafunzi
Mmarekani kifungo cha miaka 15 na kazi ngumu jela
kwa makosa ya uhalifu dhidi ya dola.
Bw Otto Warmbier, mwenye umri wa miaka 21, alikiri
kuiba bango la kisiasa katika hoteli alimokuwa akikaa
pamoja na kundi jingine la watalii mjini Pyongyang.
Marekani imeitaka Korea Kaskazini kumwachilia huru
mwanafunzi huyo mara moja.

Related Posts:

  • Choose Your Future Schaller writes, “Most congregations are really confronted with two choices: change or gradually fade away” (page 21). “Small churches have a bright and promising future—if they are willing to adapt to a new role in a ch… Read More
  • Involve Children in Your LifeWe can involve children in the life of the church in many ways. Children’s ministry programs are vital—things such as Vacation Bible School, Sunday School classes and camps—but such programs are not ends in themselves. Minis… Read More
  • Youth in the Church – why they are important and how to get them involvedThere is an expression that the church is always one generation away from extinction. It’s simply because the youth of today are the leaders of tomorrow. With this truth in mind it should be self-evident that churches ough… Read More
  • The Pastor's CallingMany people have no idea what pastors do, and it’s not unusual for pastors to feel inadequate in their role. I’ve felt that way, as Paul apparently did in asking, “who is equal to such a task?” He then noted (speaking of t… Read More
  • Back to the Future of Youth Ministry Back to the Future of Youth Ministry Youth ministry is a very slippery topic. It is difficult to even pinpoint its origin because youth ministry has yet to be well-defined. I spend a lot of time these days off-campus, spe… Read More