Recent Posts

PropellerAds

Sunday, March 27, 2016

Mali yakamata 2 waliopanga ugaidi Ivory Coast

Polisi nchini Mali wanasema watu wawili wamekamatwa
kaskazini mwa nchi, kwa kuhusika na shambulio
lilofanywa mwezi huu na Al Qaeda, katika eneo la
watalii nchini Ivory Coast.
Mmoja wao anasemekana kuwa ndiye aliyepanga usafiri
wa washambuliaji.
Mwenzake anatuhumiwa kuwa mshauri mkuu kiongozi wa
njama hiyo.
Wanaume wote wawili ni raia wa Mali.
Watu 19 waliuwawa pale wanaume waliokuwa
wamejihami kwa silaha kali kuingia kwa nguvu katika
eneo la pwani, la Grand Bassam, karibu na mji mkuu,
wa Ivory Coast, Abidjan.
Waliwapiga risasi waliokuwa wakikoga ufukweni, kabla ya
kuivamia hoteli.

Related Posts:

  • Look for the Kindness of the Lord God does not stop revealing to us the glory of Christ in his word. He starts at new birth, and he keeps on revealing the glory of Christ. Our new life started with a miracle — and it continues with a miracle. The ongoing … Read More
  • “Trust Me or I Will Hurt You” How is the gospel invitation different from “Trust me or I will hurt you”? If you don’t believe that hell is real, then this is not a serious question for you. If you believe hell is real, but don’t believe God ever sends… Read More
  • Could God Hand Over His Own Son? Some words penetrate so deeply into your soul that they change the way you think about everything — and the change is full of hope. That is what I would say the apostle Paul did for me when I was awakened to the all-encomp… Read More
  • When the Future Feels Impossible A dear friend of mine is walking through a heartbreaking illness. When I heard the news, I was shaken. I, who write about suffering, had no words to offer. What could I say anyway? Words seemed inadequate. Trite. Even con… Read More
  • In Christ Alone A strange thing happened when word first spread that I had stage III breast cancer: I began receiving all things pink. Pink quilts, teddy bears, and t-shirts covered with breast-cancer symbols. Even letters written with pi… Read More