Recent Posts

PropellerAds

Thursday, March 31, 2016

Waziri wa Rwanda afia gerezani Burundi

Waziri wa zamani wa Rwanda Jacques Bihozagara
amefariki katika gereza moja nchini Burundi miezi minne
baada ya kukamatwa kwa tuhuma za kufanya ujasusi.
Rwanda imesema marehemu Jacques alikuwa ameshikiliwa
kinyume cha sheria.
Balozi wa Rwanda nchini Ubelgiji ameandika na kusema
kifo cha Jacques ni "mauaji".
Wafungwa katika gereza alipokuwa ameshikiliwa
wanasema alionekana akiwa katika hali nzuri na kwamba
alifariki dakika chache baada ya kuchukuliwa kutoka
gereza kupelekwa hospitali baada ya kuugua.
Umoja wa Mataifa umekuwa ukiishutumu Rwanda kwa
kujaribu kuipindua serikali ya Rais wa Burundi Pierre
Nkurunziza, madai ambayo Rwanda imekuwa
ikiyakanusha.

Related Posts:

  • The Unexpected Answers of God In John 16:23–24, Jesus makes a stunning, sweeping, glorious promise to us: “In that day you will ask nothing of me. Truly, truly, I say to you, whatever you ask of the Father in my name, he will give it to you. Unt… Read More
  • This Illness Is for the Glory of God In the beginning — the absolute beginning of all things, except the one who was there in the beginning — was the Word, our Lord and Savior. And the Word was with God and the Word was God . . . and the Word became flesh — t… Read More
  • Are You Locked Out of God’s House? Here’s the question this raises for me: Is my home in heaven in disrepair, needing some work? Does this mean that sweet fellowship with God is somehow defective and would need to be worked on? Can Jesus say in Matthew… Read More
  • Good Parenting Begins with Knowing God Godly parenting requires far more than tips and techniques. It begins with knowing God. It’s not merely a matter of external effort and method, but involves reflecting our heavenly Father to our earthly children through ou… Read More
  • 10 Things “Yahweh” Means God also said to Moses, “Say this to the people of Israel: ‘The LORD, the God of your fathers, the God of Abraham, the God of Isaac, and the God of Jacob, has sent me to you.’ This is my name forever, and thus I am to be … Read More