Recent Posts

PropellerAds

Friday, March 18, 2016

Maamuzi magumu ya CUF Zanzibar

Katika barua ambayo imesainiwa na Naibu
Katibu Mkuu wa CUF Ahmed Nassor Mazrui na
kusambazwa kwa wanahabari leo Machi
18,2016, Wabunge wote wa Chama cha
Wananchi (CUF) wamejiondoa katika Bunge la
Tanzania katika kipindi cha 2015-2020 kwa
kile kinachotajwa kama kukiukwa kwa sheria za
uchaguzi na kuporwa haki katika uchaguzi wa
Zanzibar. Chini ni nakala ya barua kwenda
kwa Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndugai