Recent Posts

PropellerAds

Friday, March 25, 2016

Akamatwa kwa kuipelelezea Korea Kusini

Raia wa Marekani aliyekamatwa nchini Korea Kaskazini
amesema kuwa aliiba siri za kijeshi za Korea kaskazini
ili kuisaidia Korea Kusini katika taarifa na waandishi wa
habari ilioandaliwa na Pyongyang.
Kim Dong Chul mwenye umri wa miaka 62 alikiri
kufanya hivyo siku ya ijumaa,akiomba msamaha kwa
kupeleleza.
Bwana Kim awali aliwaambia waandishi kwamba yeye ni
raia wa Marekani aliyezaliwa nchini Korea Kusini na
kwamba alikamatwa mwezi Oktoba kwa kufanya
upelelezi.
Bwana Kim amesema kwamba alikutakana na maafisa wa
upelelezi kutoka Korea Kusini mwaka 2011 ili kuifanyia
uchunguzi,kulingana na shirika la habari la KCNA
kutoka nchini Korea Kaskazini.
Alikamatwa wakati alipokuwa akichukua habari za
kijasusi za kijeshi na zile za kinyuklia kutoka kwa mtu
ambaye hakutajwa.

Related Posts:

  • Justin Bieber: Sitapiga picha na mashabikiBieber ambaye alikuwa hana viatu aliwavutia mashabiki lakini akakataa kuzungumza nao hadi watakapoweka simu zao chini. Haijulikani iwapo picha alizochukua na mashabiki wake katika lango la mbuga hiyo zilikuwa za mwisho,laki… Read More
  • Cameron: Nigeria na Afghanistan ni mafisadi wakuu duniani Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amesema kuwa serikali yake imepigwa na butwaa na matamshi ya kushtua na ya aibu ya waziri mkuu wa Uingereza Bw David Cameron yakwamba Nigeria na Afghanistan ndio mataifa fisadi zaidi dunia… Read More
  • Queen Says Chinese Officials 'Very Rude' The Queen has been recorded on camera making unguarded comments about Chinese officials just hours after David Cameron was caught on a microphone criticising Nigeria and Afghanista… Read More
  • Kambi ya jeshi Nigeria 'sehemu ya kifo'wafungwa wapatao 149 wamkufa katika hali mbaya katika kizuizi cha jeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria mwaka huu. Katika ripoti, Amnesty linasema 11 kati ya waliokufa katika kizuizi cha Giwa walikuwa ni watoto wakiwemo watot… Read More
  • Indian Woman, 72, Gives Birth An Indian woman who has given birth at the age of 72 through IVF treatment says her life is now complete. Daljinder Kaur and her 79-year-old husband became parents last month following two years of treatment at a clinic in … Read More