Maafisa wa afya katika utawala wa Palestina wanasema
kuwa mvulana mmoja wa umri wa miaka kumi
ameuwawa na mashambulizi ya angani ya Israeli
kaskazini mwa Ukanda wa Gaza huku ndugu zake wawili
wakijeruhiwa.
Jeshi la Israeli lilisema kuwa lililenga ngome mbili za
Hamas kujibu mashambulizi ya roketi yaliyofaywa dhidi
ya Israeli.
Lilisema kuwa takriban makombora manne yaliyofyatuliwa
kutoka ukanda wa Gaza yalianguka eneo lililo wazi
karibu na mji wa Israeli wa Sderot.
Wanafunzi Kapeta,Kiwira warithishwa ari ya utunzaji mazingira
-
Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), kwa kushirikiana na Shirika la
Utangazaji la Tanzania (TBC), wameendesha zoezi la upandaji miti katika
Shule ya msi...
8 hours ago